Meremeta & TANGOLD Revealed!

Meremeta & TANGOLD Revealed!

Miongoni mwa aliyosema ni kuwa sheria ya usalama wa taifa iweze kubadilishwa na kuifanya iendane na wakati kwani sheria ya sasa inaangalia zaidi ile ya wakati wa cold war na haina economic espionage hata kidogo.

alieleza jinsi India na nchi nyingine zilivyoweza kunufaika kwa kuruhusu kitengo chao cha usalama kuwa na economic espionage.

Pia alizungumzia kuhusu sheria za usalama kubadilishwa ili kuwapa uwezo wa kuchukua hatua kwani sheria ya sasa inawapa kazi ya kushauri tuu na huo ndio mwisho wao.

mengine baadae.
 
Ukabila tutaumaliza lini jamani?kwa nini tufikirie kuwa majibu hayatatoka kwa sababu mkemia ni msukuma?

Ndugu yangu bado uko kwenye ndoto kwamba Tanzania hakuna Ukabila. Hakukuwa na Ukabila huko nyuma miaka ya 70 siyo leo. Unakumbuka Basil Pesambili katika bajeti zake alihakikisha anatenga bilioni 7 kwa kilometa 37 tu jimboni kwake wakati kuna kilometa zaidi ya 200 alizitengea milioni 200 tu. Unajua ni kwanini? Huo huo unaodhani haupo. Kwa taarifa yako tusitibu jipu kwa kupaka mafuta. Ukabila upo.
 
raisi alipomteua pinda alitakiwa afanyembadiliko pia na makatibu wa wizara ilikumpa pinda katibu mwingine.lakini kuwaacha wale wa lowasa,haya ndio matatizo yake.
hawa wataendelea kumpinda pinda mpaka na yeye ataondoka kama mwenzake.kuna hatari ya kuwa na mawaziri wakuu wanne kabla jk ajamaliza muda wake.

ndiko tunakoelekea na kumeshakaribia kufika huko
 
Ndugu yangu bado uko kwenye ndoto kwamba Tanzania hakuna Ukabila. Hakukuwa na Ukabila huko nyuma miaka ya 70 siyo leo. Unakumbuka Basil Pesambili katika bajeti zake alihakikisha anatenga bilioni 7 kwa kilometa 37 tu jimboni kwake wakati kuna kilometa zaidi ya 200 alizitengea milioni 200 tu. Unajua ni kwanini? Huo huo unaodhani haupo. Kwa taarifa yako tusitibu jipu kwa kupaka mafuta. Ukabila upo.

Asante sana.... huko ni msumari wa moto...
 
Inamaana Waziri Mkuu amelidanganya Bunge ?? Hapa sijui kama hajatoswa na kutolewa ushamba bungeni.

I predicted this shyt, in Tupacalypse.

A VOTE OF NO CONFIDENCE IS IN ORDER !
 
Pamoja na kusisitiza kuwa meremeta ni wizi mtupu, mhe. Zitto amezungumza kwa kuthibitisha kuwa yeye alikuwa kwenye kamati ya madini, anafahamu meremeta ni wizi mtupu, haihusiani na masuala ya usalama kabisa na ndiyo maana kamati yao ilikuwa na wajumbe kutoka sekta binafsi ambao hawajafanyiwa vetting lakini waliruhusiwa kufanya uchunguzi wa mambo ya meremeta, kama ingehusisha mambo ya usalama hawangeruhusiwa. Mhe. Pinda hakuwepo bungeni leo.
 
Mhe. Zitto ameahidi pia kutoa mchango wa hoja zake kuhusu TISS kwa maandishi ili zijibiwe na Waziri wa utawala bora, nafikiri atabandika hapa mchango wake tuuone
 
Pamoja na kusisitiza kuwa meremeta ni wizi mtupu, mhe. Zitto amezungumza kwa kuthibitisha kuwa yeye alikuwa kwenye kamati ya madini, anafahamu meremeta ni wizi mtupu, haihusiani na masuala ya usalama kabisa na ndiyo maana kamati yao ilikuwa na wajumbe kutoka sekta binafsi ambao hawajafanyiwa vetting lakini waliruhusiwa kufanya uchunguzi wa mambo ya meremeta, kama ingehusisha mambo ya usalama hawangeruhusiwa. Mhe. Pinda hakuwepo bungeni leo.

Na kwa nini pinda asisubiri report isomwe official........ anamtisha nani...... si wote watakao kubali kulishwa sumu, ZITTO FANYA KAZI YA MUNGU......
 
jamani mlioko dodoma naomba kujua kama Mh Zito amewataja watu waliofanikisha wizi wa meremeta...
 
Pamoja na kusisitiza kuwa meremeta ni wizi mtupu, mhe. Zitto amezungumza kwa kuthibitisha kuwa yeye alikuwa kwenye kamati ya madini, anafahamu meremeta ni wizi mtupu, haihusiani na masuala ya usalama kabisa na ndiyo maana kamati yao ilikuwa na wajumbe kutoka sekta binafsi ambao hawajafanyiwa vetting lakini waliruhusiwa kufanya uchunguzi wa mambo ya meremeta, kama ingehusisha mambo ya usalama hawangeruhusiwa. Mhe. Pinda hakuwepo bungeni leo.

Poor Pinda, inabidi tukuombee sana, yaani bunge lako la kwanza unathibitika umesema uongo? je siyo kwamba unaweza ondolewa kwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na wewe?

Angalia PM badala ya Kupinda waweza Pinduka!
 
ikithibitika pinda kalidanganya bunge, six atafanyaje?
 
Naona Muda wa CCM kupelekwa madhabahuni unakaribia tujipange vizuri 2010 njia ya mwongo ni kama mkia wa mbuzi
 
Haya mambo ni ya usalama wa taifa na inaonekana huyu zitto hajipendi. Sasa akiwekwa ndani utaona wana chadema hapa wanapiga makelele kuwa zitto kaonewa.
 
Naona Muda wa CCM kupelekwa madhabahuni unakaribia tujipange vizuri 2010 njia ya mwongo ni kama mkia wa mbuzi
Sio muda wa CCM kupelekwa madhabahuni!bali ni muda wa viongozi mafisadi na wala rushwa na waongo kupelekwa madhabahuni!
CCM ni safi haina kosa!
 
Sio muda wa CCM kupelekwa madhabahuni!bali ni muda wa viongozi mafisadi na wala rushwa na waongo kupelekwa madhabahuni!
CCM ni safi haina kosa!

kwanza, hao viongozi wanaoitwa mafisadi sio wana ccm hao. Ni mapandikizi ya upinzani ambao watatolewa muda si mrefu.
 
ikithibitika pinda kalidanganya bunge, six atafanyaje?

Kwa jinsi Zitto alivyotoa maelezo, ni dhahiri kuwa Pinda alilidanganya Bunge. Mhe. Zitto amemwambia a riview maelezo yake kuhusu Meremeta na atolee maelezo tena suala hilo bungeni.
 
Jamani mi naomba nieleweshwa labda sifahamu: Inamaanisha vitu vinavyohusu usalama wa taifa ndio vitu visvyoeleweka? Au usalama wa taifa ndio huwa unafanya vitu vya siri kwa hiyo hairuhusiwi kuhoji?

Manake naona hii tabia ya kusema kila kitu ni usalama wa taifa ni mbaya sana, mi leo nimeangalia internet, nimeona records zote muhimu za CIA na FBI including their audited records, wao hawafischi wameweka hadi kwenye internet, iweje leo sisi tujifanye usalama wa taifa ni vitu vya siri sana?

Pia, usalama wa taifa unafanya biashara gani za kujihusisha kumiliki makampuni? anayemiliki makampuni yote kwa niamba ya serikali ni Msajili wa Hazina (treasury Registrar) na sio Usalama wa taifa...!

Hii hoja ya Pinda kweli imepinda...!
 
Yaani Pinda baada ya kudanganya amehamua kukimbia? Pinda anaendelea kutukatisha tamaa kabisa.
 
hapa hakuna cha usalama wa taifa au jeshi, viini macho tu hivi!!
 
Back
Top Bottom