Meremeta & TANGOLD Revealed!

Meremeta & TANGOLD Revealed!

Pinda kusoma amesoma ila huwa wanadhani wabunge wote pale hua wanasinzia na kuwa mbali kiakili wakitafakari ulafi na marupurupu yao wakayafanyie nini baada ya bunge kumalizika, kuna watu wapo makini na kila point utakayoongea mfano kina Slaa,Zitto na wengineo, hakuna kulala Zitto kaza buti mwaga yote tupo pamoja
 
Huloos all who dare to talk openly!! big up to you all in your insights and contributions on important issues of our country! I am new in the forum, but am happy to join in and learn and contribute where i can on issues concerning our beautiful country!

One thing sielewi ni how is it that MPs/Ministers/PM can just stand and talk rubbish wakati vitu viko wazi in black and white, do these position give them amnesia of some sort au? Instead of wasting time and money kwanini hawatoi majibu yenye uhakika na yasioleta utata zaidi na kuonyesha mapungufu yao???
 
Inamaana Waziri Mkuu amelidanganya Bunge ?? Hapa sijui kama hajatoswa na kutolewa ushamba bungeni.
 
Huloos all who dare to talk openly!! big up to you all in your insights and contributions on important issues of our country! I am new in the forum, but am happy to join in and learn and contribute where i can on issues concerning our beautiful country!

One thing sielewi ni how is it that MPs/Ministers/PM can just stand and talk rubbish wakati vitu viko wazi in black and white, do these position give them amnesia of some sort au? Instead of wasting time and money kwanini hawatoi majibu yenye uhakika na yasioleta utata zaidi na kuonyesha mapungufu yao???

Karibu ladymzuri,
karibu kwenye jamvi letu tukufu tushirikiane kuwakomalia wezi wa kilicho chetu, na kwa vie sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, kwa pamoja tutashinda.
 
.........kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi.......... kuna dawa moja ya kukamata/kumnasa panya bila kumuua na kusabbsha harufu ndani... hiyo dawa ni ya gundi... basi unaweka chakula katikati halafu unaipakaa ile dawa pembeni (sehemu kubwa) bwana weee....basi panya akikatisha tuu ananasa, kila anapujinasua ndio anazidi kujinatisha mwili wote kwenye gundi..... kwi kwi kwi kwi kwi.....................
 
Huloos all who dare to talk openly!! big up to you all in your insights and contributions on important issues of our country! I am new in the forum, but am happy to join in and learn and contribute where i can on issues concerning our beautiful country!

One thing sielewi ni how is it that MPs/Ministers/PM can just stand and talk rubbish wakati vitu viko wazi in black and white, do these position give them amnesia of some sort au? Instead of wasting time and money kwanini hawatoi majibu yenye uhakika na yasioleta utata zaidi na kuonyesha mapungufu yao???

Karibu sana. Hawa wanaojiita viongozi are total failures. Wanaweza kabisa kutoa majibu yasio na utata but they do not have neither motivation nor political will to do that. Very sad. Such a waste of time and space.
 
jamani mwenye data ya vitu kamili alivyoongea Zitto, naomba kuhabarishana am curious to know ameongea nini zaidi.
 
pinda ameingia kwenye nyumba inayonuka kinyesi kila kona (choo cha city) sasa kila anapojaribu kusafisha ndio anazidi kuchafua kabisa.imefika mahali hata yeye ananuka kinyesi.
 
.........kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi.......... kuna dawa moja ya kukamata/kumnasa panya bila kumuua na kusabbsha harufu ndani... hiyo dawa ni ya gundi basi unaweka chakula katikati halafu unaipakaa ile dawa pembeni (sehemu kubwa) bwana weee....basi panya akikatisha tuu ananasa, kila anapujinasua ndio nanazidi kujinatisha mwili wote kwenye gundi..... kwi kwi kwi kwi kwi.....................

Tuandamane unanivunja mbavu.
Maana huo mfano wako wa ngundi na panya umekamata penyewe.
 
.........kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi.......... kuna dawa moja ya kukamata/kumnasa panya bila kumuua na kusabbsha harufu ndani... hiyo dawa ni ya gundi basi unaweka chakula katikati halafu unaipakaa ile dawa pembeni (sehemu kubwa) bwana weee....basi panya akikatisha tuu ananasa, kila anapujinasua ndio nanazidi kujinatisha mwili wote kwenye gundi..... kwi kwi kwi kwi kwi.....................
Tuandamane, hiyo dawa naona inaanza kufanya kazi na muda si muda panya atanasa ..........
 
.........kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi.......... kuna dawa moja ya kukamata/kumnasa panya bila kumuua na kusabbsha harufu ndani... hiyo dawa ni ya gundi basi unaweka chakula katikati halafu unaipakaa ile dawa pembeni (sehemu kubwa) bwana weee....basi panya akikatisha tuu ananasa, kila anapujinasua ndio nanazidi kujinatisha mwili wote kwenye gundi..... kwi kwi kwi kwi kwi.....................

pinda ameingia kwenye nyumba inayonuka kinyesi kila kona (choo cha city) sasa kila anapojaribu kusafisha ndio anazidi kuchafua kabisa.imefika mahali hata yeye ananuka kinyesi.

Tuandamane na Katibu Tarafa, hebu nisaidieni, hivi wale washauri kibao ambao Lowassa aliomba na akapewa na JK bado wapo Ofisi ya Waziri Mkuu?
 
Jamani yule Spika ambaye haogopi mtu ameishia wapi? Ndiye anatakiwa kuendesha vikao hivi.
 
Jamani yule Spika ambaye haogopi mtu ameishia wapi? Ndiye anatakiwa kuendesha vikao hivi.

CCM Oyeeeeeee!!! Kudumu Chama cha Mapinduzi!!!! Zidumu......Lakini kwa wabunge wa sasa, mambo ni mazito TAIFA NA WANANCHI MBELE, Chama baadaye, na kama Chama kimeweka misingi na malengo ya kutetea wananchi/Wapiga kura, basi watakosa pa kuwakamatia wabunge watakaopinga "NIDHAMU YA CHAMA"
 
come to think of it, hivi investigation ya unga unga tayari, maybe ikijulikana what was the viunga unga we will know why these people are just mumbling mumbling on serious issues!! seriously!!!
 
Tuandamane, hiyo dawa naona inaanza kufanya kazi na muda si muda panya atanasa ..........

nakwambia panya hachomoki........ najua kuna wengi tu mmewahi kuitumia hii dawa jamani.... asubuhi ukiamka inamkuta panya kachoka, kalowa mwili mzima kwa gundi... anakutolea macho mpaka unamuonea huruma........... lkn hapa hakuna kuonea mtu huruma
 
Jamani naomba kama kuna watu wako Dodoma watupatie update .....Ila napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Sana Zitto kwa mambo yote anayofanya kwa niaba ya taifa letu . Mwenyenzi Mungu azidi kumtia nguvu katika kipindi hiki tunachojaribu kupambana na mafisadi wa Tanzania. Wakati huo huo huu ni ushindi wa dhahiri wa hii forum kwani Mheshimiwa ni member hapa ...
 
come to think of it, hivi investigation ya unga unga tayari, maybe ikijulikana what was the viunga unga we will know why these people are just mumbling mumbling on serious issues!! seriously!!!

Mkemia mkuu msukuma+ Nyenge Msukuma=0000....je hesabu hiyo hailipi???
 
Leteni Habari Za Hitimisho A Zito Mlioko Dodoma Tunasubiri Kwa Hamu!

Pinda Is Like A Bull In The Market,you Want To Control It, If You Are Not Careful, Start With Breaking All Your ........
 
Atakuwa ameisoma na anajuwa wazi kuwa anasema uongo. Hao majangili ni lazima washughulikiwe. Hawawezi kuendelea kutufanya wananchi kama mazezeta na wanafanya na kusema wanavyotaka.
Kitu kikubwa kinachowapa kiburi ni hilo jeshi lao na mapolisi wao, maana "wamewatia kiganjani" haswa hawafurukuti na kwa umaskini wao wa akili wala hawajiulizi tofauti ya kimaisha kati yao na hao wanao walinda.. wao wakiambiwa "kamataaa..." mbio.... wanakamata kama mbwa wao wasiohitaji sbb ya kukamata

wanajua kabisa wananchi hatuna uwezo kulinganisha na jeshi lao.... wamesahau habari Tieman Square hawa....
 
Back
Top Bottom