hesabu kidooogo issue...sijakupata vizuri...pls break it down for me to swallow!Mkemia mkuu msukuma+ Nyenge Msukuma=0000....je hesabu hiyo hailipi???
Kitu kikubwa kinachowapa kiburi ni hilo jeshi lao na mapolisi wao, maana "wamewatia kiganjani" haswa hawafurukuti na kwa umaskini wao wa akili wala hawajiulizi tofauti ya kimaisha kati yao na hao wanao walinda.. wao wakiambiwa "kamataaa..." mbio.... wanakamata kama mbwa wao wasiohitaji sbb ya kukamata
wanajua kabisa wananchi hatuna uwezo kulinganisha na jeshi lao.... wamesahau habari Tieman Square hawa....
ooh you mean since msukuma sprayed, and the investigators ni same same...then there will be no report!! mmmh!hesabu kidooogo issue...sijakupata vizuri...pls break it down for me to swallow!
Mhuuuuuuuuuuuuuum!Mkemia mkuu msukuma+ Nyenge Msukuma=0000....je hesabu hiyo hailipi???
swali: Mlioko Dodoma Tupeni Summary Ya Aliyoongea Mheshimiwa Kijana Wetu, Jemedari, Kiboko Ya Mafisadi, Mshushaji Wa Viongozi Mafala, Zitto Wa Zuberi Kabwe
Mkemia mkuu msukuma+ Nyenge Msukuma=0000....je hesabu hiyo hailipi???
hesabu kidooogo issue...sijakupata vizuri...pls break it down for me to swallow!
Ukabila tutaumaliza lini jamani?kwa nini tufikirie kuwa majibu hayatatoka kwa sababu mkemia ni msukuma?Hapo ana maana kwamba lile sakata la unga unga ndani ya ukumbi wa Bunge limepelekwa kwa Mkemia Mkuu ambaye ni Msukuma na PRODUCER ambaye ni Bwana Chenge ni Msukuma je majibu yatatoka????
how long does it take to do the investigations...machemist ebu tuambieni??? yaani all these days, majibu bado tuu au ??Ukabila tutaumaliza lini jamani?kwa nini tufikirie kuwa majibu hayatatoka kwa sababu mkemia ni msukuma?
true that ... sasa nondo zaidi bado...haya yaliyojiri zaidi tuleteeni basi??Nadhani tunazungumzia suala la hotuba ya Zitto Bungeni. Naona tumegeuka kuzungumzia kwenye unga unga na usukuma. focus.
Tuandamane na Katibu Tarafa, hebu nisaidieni, hivi wale washauri kibao ambao Lowassa aliomba na akapewa na JK bado wapo Ofisi ya Waziri Mkuu?