Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
sasa Mkuu turudi kwenye mada, kama unaona Mzee Mjj alivyobainisha kuwa kuna sababu nyingi zinatajwa kuhusiana na Meremeta kutegemeana na nani ameitoa wapi na katika mazingira gani. Mimi Nadhani This day Pia sasa ni wakati wa kuweka pamoja hizi sababu na kutoka na Hitimisho wasomaji wao tujue Meremeta ilikuwa ya nani kwa ajili ya nini?
Uko sahihi kabisa, si Thisday pekee, bali magazeti na wanasiasa wengine wa Tanzania pamoja na wanaharakati ili tufike mahali wahalifu wa sasa na wa zamani wawe wanaogopa kuiba si hali ya sasa ambako mwizi anaitwa MJANJA