Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 78
Baada ya kujua ni lazima kufanya maamuzi haraka sana na kuona kuwa Nchi yetu inapelekwa kwenye hali nzuri sana na kuona kuwa matunda na rasilimali za taifa hili zinatumika kwa faida ya Watanzania na kuliko hivi sasa. Kuna haja ya kufanya mabadiliko haraka sana