Menu yangu ya leo. Karibuni

Menu yangu ya leo. Karibuni

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,416
images.jpeg
IMG_7372.JPG


Wote mnakaribishwa !
 
ahsante ila nikija tutashiba kweli maana naona kama hicho chakula kidogo
 
Chakula kidogo hicho...ama kuna cha aina kingine pembeni?? FirstLady1
 
Last edited by a moderator:
yaani mchana unipite bila ugali!
no way....


Kumbe na wewe mpenzi wa Ugali kama mie ..mboga gani unapendelea ili siku ukinitembelea nisibakia kushangaa
Dagaa ,Matembele,Mchicha ,Kisamvu ,Kuku Choma or Majani ya kunde?
 
Kumbe na wewe mpenzi wa Ugali kama mie ..mboga gani unapendelea ili siku ukinitembelea nisibakia kushangaa
Dagaa ,Matembele,Mchicha ,Kisamvu ,Kuku Choma or Majani ya kunde?
vibaya hivyo rafiki unanitoa mate tu hapa mwenzio... mweeeeeee!
hizo mboga zote bomba kwa ugali.... hasa dagaa, matembele, pia napenda samaki na mlenda....... yaani hapo ugali mkubwaaaaa......tena ukichanganywa na unga wa muhogo ni balaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
pande zipi uko nije now? au nile ki digital?
 
Back
Top Bottom