Menu yangu ya leo. Karibuni

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,793
5,372
images.jpeg
IMG_7372.JPG


Wote mnakaribishwa !
 
ahsante ila nikija tutashiba kweli maana naona kama hicho chakula kidogo
 
Kumbe na wewe mpenzi wa Ugali kama mie ..mboga gani unapendelea ili siku ukinitembelea nisibakia kushangaa
Dagaa ,Matembele,Mchicha ,Kisamvu ,Kuku Choma or Majani ya kunde?
vibaya hivyo rafiki unanitoa mate tu hapa mwenzio... mweeeeeee!
hizo mboga zote bomba kwa ugali.... hasa dagaa, matembele, pia napenda samaki na mlenda....... yaani hapo ugali mkubwaaaaa......tena ukichanganywa na unga wa muhogo ni balaa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom