Bright Smart
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 644
- 311
uuwwwwiiiiii.....
matembele yako wapi sasa? au hata bamia hakuna?
ila hii imetulia mno.....nakuja sasa hivi
hayo hapo nimeongeza, hapa ndo penyewe mboga draft full kujisevia, sema kingine.
uuwwwwiiiiii.....
matembele yako wapi sasa? au hata bamia hakuna?
ila hii imetulia mno.....nakuja sasa hivi
ha ha haaaa, asante sana, nakuja. ila nikiwa njiani ongezea na dagaa; wawe wamekaangwa na mawese, please.... thank youhayo hapo nimeongeza, hapa ndo penyewe mboga draft full kujisevia, sema kingine.
ha ha haaaa, asante sana, nakuja. ila nikiwa njiani ongezea na dagaa; wawe wamekaangwa na mawese, please.... thank you
Tunakula menu au tunakula chakula? lol
nimekuaminia rafiki. kweli una nia ya mimi kuja kupata lunch nawe, lol!yaani hapa tena, usihofu ndo penyewe, hao hapo sema kingine.
Mama Mdogo mapishi yako vipi? Mimi huwa naona wamama wa kisambaa wanaondoa vichwa kwenye hao wadudu
Huyo ndio shehe Ilunga mkuu, atakutangazia jihad?, wenzio wameleta misosi we unaleta picha za ajabu,mkimaliza kula msisahau kumkumbuka sheikh ilunga
View attachment 84022
Ugali wa ulezi??? Mtu Mzima hatishiwi nyau, huu hapa, tumeula leo mchana (huku kwetu tukiupika tunaweka na samli kiasi au mafuta ya ng'ombe ili uwe laini):
View attachment 84076
Ugali wa ulezi??? Mtu Mzima hatishiwi nyau, huu hapa, tumeula leo mchana (huku kwetu tukiupika tunaweka na samli kiasi au mafuta ya ng'ombe ili uwe laini):
View attachment 84076
Kumbe na wewe mpenzi wa Ugali kama mie ..mboga gani unapendelea ili siku ukinitembelea nisibakia kushangaa
Dagaa ,Matembele,Mchicha ,Kisamvu ,Kuku Choma or Majani ya kunde?