FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #41
Acha banaa raha ya ugali (unga wa mahindi uchanganywe na wa muhogo weee!!!) na mboga hio halafu pembeni kuna dagaa wakavu/wabichi au steak ya kuchoma kwenye mkaa au kuku wa kienyeji wa kuchoma na pilipili mbuzi/kichaa. Halafu kuna watu wana dhana kwamba kula ugali kunasababisha kitambi kitu ambacho si kweli miye ni mpenzi mkubwa wa ugali na kitambi kimenipiga chenga na pia kuna watu chungu nzima ambao ni wapenzi wa ugali lakini hawana vitambi.
hahaha Pilipili kichaa tena ...Kupika ugali wa mahindi uchanganye na muhogo ni shughuli pevu
Ukiotea ugali kuiva hahaha ..usiseme sijui kupiga
Ugali + maziwa ya mgando?