Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

...Bahati mbaya tu alikuwa Period ningepiga kimoja cha make up
emoji12.png
Hahahahaha..
Unahifadhi namba mahali, sio ku-save kwa phonebook
 
Watu wanauza siri za kambi .! Uzuri Mke wangu sijui yumo humu au lah..! Ila mimi natumiaga ID za kumi so anaijua moja nyingine huwa nam stalk kimya kimya akijua kibenten kimejilengesha
Hahaha kuwa makini.
 
Ukikua utaelewa

Kwa africa hii ni wastage of time
Ni sifa kuwa na michepuko sio fedheha

dawa ni kuendelea na 'yako'..
Ni sifa kwako na kwake au? Nikikua mara ngapi? acheni kuwajaza ujinga hao wapenda michepuko..Any way hata kama siwezi kufanya lolote but at least onyesha hupendi ujinga huo
 
Watu wanauza siri za kambi .! Uzuri Mke wangu sijui yumo humu au lah..! Ila mimi natumiaga ID za kumi so anaijua moja nyingine huwa nam stalk kimya kimya akijua kibenten kimejilengesha

1. Hujui kama wife yupo humu au lah!!

2. Anaijua ID yako moja!!

3. Una IDs 10+ hapa JF!

Kama hujui kama yupo humu ni yupi huyo unayemstalk kimya kimya kwa ID ya 10?

Ujinga raha sana.
 
Mkuu tafuta kisimu kidogo na laini mpya ukifika home unakazima


Au tafuta laini ya ziada ukifika home unaitoa mbona simple mkuu


Sina mcgepuko Mke wangu pombe

Unakunywa POMBE aina MOJA kila siku?

Kama sivyo, mchepuko sio papuchi tu mlamu.
 
Mkuu nitumie namba zake nimkataze hiyo tabia
 
Imeandikwa: “ Wazinzi na Waasherati hawata uona/ingia kwenye ufalme wa Mungu.”

Dhambi zote azifanyazo mwanadamu huhusisha kiungo au baadhi ya Viungo vya mwili lakini dhambi ya Zinaa huhusisha mwili mzima wa mwanadamu ambalo ni hakalu la Mungu.

Ni chukizo kubwa machoni pa Mungu.


Enyi Wazinizi yatafakarini hayo.
 
Ni sifa kwako na kwake au? Nikikua mara ngapi? acheni kuwajaza ujinga hao wapenda michepuko..Any way hata kama siwezi kufanya lolote but at least onyesha hupendi ujinga huo
Approach unayotaka kutumia ndio tatizo..itakufelisha

hakuna mwanamke anaependa kushare bwana..
 
Sasa unakuta hata hiyo Twitter haifahamu mkuu...
Siyo Kila mchepu Ni akili kubwa ..
Mimi nina fm WhatsApp inanisaidia kiasi Ila kwa huyu dah Ni msumbufu .
Nawaza kupiga chini
Yaani mchepuko yupo chuo na Twitter haifahamu

Aiseee !!!!!
 
Hapo WhatsApp bado amateur kula hii
Download fm WhatsApp Kuna option ya kuhide chats with password ...
Download ukishindwa kufanya mwenyewe nipo nikupe maelekezo.
Hiyo kwa sisi majasusi inafahamika ila kwakuwa nimeacha umalaya hizo mambo sizifanyi
 
Huyo mchepuko lazima nae awe na kidumu, sasa sijui kati yenu nani ataitwa mchepuko. Mwanamke anahitaji mtu wa kumpa support, kuwa karibu nae..sasa kwa hali hii ya no calls, no sms wala whatsapp unadhani atakubali tu kukuangalia? Hapo mzee mnapeana zamu tu na jamaa mwingine, when you're in..someone is out!!
Akishakuwa mchepuko you don't need to care kuhusu yeye kuwa na mtu or watu wengine atajijua mwwnyewe na balaa lake ilimradi yeye akupe utamu tu then maisha ya endelee
 
Back
Top Bottom