Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Mie nina mchepuko wangu upo dsm .! Nashukuru hauna usumbufu nauvutia muda nije nitafute ka safari ka uongo na kweli nikamkunje kisawa sawa....!
Ile kumsukumia motooo haswaaa.


Sorry, nimeenda nje ya Maada
Ngoja nirejee kwenye maada.! Eeebhana Mchepuko ni lazima afuate utaratibu. Nikiwa home namtumia text niko home..! So No calls, No text, No Whatsapp text .! Mbona amani sana.
Siku ya kwanza nilimuweka kati nikawa sijamwambia kuwa naishi na Mtu (Mke wangu) so mimi ndio nikajichanganya nikawa nimempigia na akakuta missed calls si akanipigia wakati inaita Mke wangu akaipokea simu alfu demu nilikuwa Nimemsevu ila yeye aliposikia sauti ya mwanamke akajiongeza kasema amekosea namba .! Mke wangu akauwasha moto .! Akaniuliza mbona anasema amekosea namba wakati namba iko saved.! Ila nilimbembeleza akanielewa na Bahati mbaya tu alikuwa Period ningepiga kimoja cha make up
Huyo mchepuko lazima nae awe na kidumu, sasa sijui kati yenu nani ataitwa mchepuko. Mwanamke anahitaji mtu wa kumpa support, kuwa karibu nae..sasa kwa hali hii ya no calls, no sms wala whatsapp unadhani atakubali tu kukuangalia? Hapo mzee mnapeana zamu tu na jamaa mwingine, when you're in..someone is out!!
 
zamani walikuwa wanaita VIMADA wa nje ya ndoano.....outside chick......aiseee.....asiwe hivi visungura pori vya 33 down ward.......lazima ibumburuke tuu......
 
Some men real dont know and cant read our minds. Hatueleweki na hatujawahi kueleweka. Yaan unadhani nikakushika halaf ukakana na kuleta sababu luluki nikakuitikia yea kwamba ndo nimemaanisha nimekuamini ama ndo unasema ukweli? Akili ya mwanamke works like a computer. Tukikaa kimya its simply because we are avoiding fights. Musituchukulie hivi poa.
 
Naona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.

Ama kweli we ni Pro
 
Simu zenye clone app ndio zinasaidia. Unaclone WhatsApp kisha unaiweka clone kwenye vault utakuwa unatumia kwa muda wako uko. Tatizo namba ile itajulikana iko WhatsApp ila utaficha last seen na unaikana kwa wasiohusika wala huweki dp
Hakuna haja ya clone! Kuwa na namba mbili tofauti, moja maalum tu kwa ajili ya michepuko, shida iko wapi!
 
Hujakutana na wajuvi wa masuala ya net wewe mi kwenye upekuzi sijui utanidanganya nini(internet protocal niko vzuri mno)ukizubaa nakuhack na nikitaka ni kwa namna yoyote tu , mi nilimwambia h bwashee hvi ,bwana baba m sina mda wa kuhangaika na simu yako we ni mtu mzima na isitoshe nna kazi nyingi za kufanya na nkamwambia we fanya upuuzi wako wote ila nisijue(ananielewa sana tu)
Pili nkamwambia kuna UKIMWI,homa ya ini na mengine siku ukiukwaa huko baba nakwambia utakufa kabla ya siku zako,nkamaliza basi nkamaliza m namwamwangalia tu simu yake nkiwa nashida natoa pattern kama ni mb au dakika natumia nkimaliza naweka hapo
Ingia kwenye anga yangu uone kama utagundua kitu.
 
Mwenzenu nimewakosa wengi mno kwa kuwa mkweli, asipouliza nakauka, ila akiuliza tu lazima nimchane kuwa nina mke na watoto kadhaa, akiona infaa kunipa na anipe akiona siyo mpango aachane na mimi,

Ni kwa namna hiyo tu nimefanikiwa kuonekana mwaminifu mno kwa wife

Just sms kuwa naenda home, wote huwa wanaelewa wanabaki kimya mpaka ninapowatafuta

Iga mfano wangu hahahahha
 
Back
Top Bottom