Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 3,034
- 4,270
sijui kwanini nimecheka
Duh mambo haya Mungu tusaidie
Dont take them too serious, nyingi hapa ni story tu mama tunachangamsha Jukwaa



sijui kwanini nimecheka
Duh mambo haya Mungu tusaidie



Huyo mchepuko lazima nae awe na kidumu, sasa sijui kati yenu nani ataitwa mchepuko. Mwanamke anahitaji mtu wa kumpa support, kuwa karibu nae..sasa kwa hali hii ya no calls, no sms wala whatsapp unadhani atakubali tu kukuangalia? Hapo mzee mnapeana zamu tu na jamaa mwingine, when you're in..someone is out!!
Hata " mawaifu" wanasoma hapa so kuwa makini katika majukumu haya


.! Uzuri Mke wangu sijui yumo humu au lah..! Ila mimi natumiaga ID za kumi so anaijua moja nyingine huwa nam stalk kimya kimya akijua kibenten kimejilengesha 
Tutampelekea Moto.Fresh tu, Maisha yako balanced sana ! Uwe unamtumia text na kumpigia ujuavyo huyo demu wako..! Siku moja tu ataingia 18 za wahuni wakukunjie mapaka anakudharau. Kwahiyo mimi namchukuliaga demu wangu kuwa ananicheat so akija kunicheat hainiumizi kichwa na hapo ndio nitoleee na Natafuta Mwingine.
True storyUnapokuwa na mchepuko, just be aware kwamba you're in the chain. Siamini kama mwanamke anaweza kuwa mchepuko wako na akatulia na wewe tu wakati anajua kabisa una mke, I just can't buy it!
Mbona we mwenyewe bado amateurNaona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
Ukikua utaelewaNtamuabisha ukoo mzima na nitachukua vizibiti vyote ntajitahidi kufatilia na kuvipata then ntaenda kanisani kwa baba paroko ndoa ivunjwe. Kwa sababu ndoa itavunjika tuu ikiwa kuna uzinzi umefanyika. Shida ni kwamba huwa tunawaza watoto mara familia ila hatuwazi magonjwa,mateso kwa familia ikiwa huyo mchepuko atamchukua akili mazima huyo baba. Na itabaki kuwa aibu kwake maana itajulikana alikua na mke ila hakua mwaminifu.
BLOCKSasa unakuta hata hiyo Twitter haifahamu mkuu...
Siyo Kila mchepu Ni akili kubwa ..
Mimi nina fm WhatsApp inanisaidia kiasi Ila kwa huyu dah Ni msumbufu .
Nawaza kupiga chini
Zaidi ya Mafia dahhUmenikumbusha kisa flani hivi kilimkuta jamaa.alikua na michepuko miwili, na alikua anajisifu kwamba anaihandle fresh tu. Sasa kumbe wife wake alishashtukia mchezo siku nyingi.
Alitengeneza urafiki na moja ya mchepuko wa mumewe na akawa anamuuliza namna ya kudeal na mume wa mtu ( ikumbukwe mchepuko alikua hamjui wife wa jamaa, ila alikua anajua tu kaoa). Ushosti ukakolea na mchepuko ulimsaidia wife wa jamaa kua pro katika kuchepuka na waume za watu.
Siku moja wife wa jamaa alimualika huyo shost nyumbani kwake. Mchepuko ukaaga kwa jamaa kwamba anaenda kwa rafiki yake na atalala huko ( alimsimulia pia namna huyo rafiki yake alivyo pro kwenye kuchepuka na waume za watu na moja ya mchepuko wake alikua mtu mzito jeshini)
Wife wa jamaa anamwambia mumewe kwamba kuna rafiki yake atakuja kumsalimu na atalala. Jioni jamaa anarudi home anakuta mchepuko na wife wako jikoni wanapiga story, wife anamtambulisha yule shosti kwamba yule ni mume wake!
Aiseee jamaaa alipaniki na alikosa uvumilivu.akamvamia wife na kumshushia kipigo heavy nusura auwe!
Jamaa akaishia jela, 3 years akatumikia. Ametoka mwaka jana disemba na ndo akanipa story nini kilitokea.
MAKE SURE YOU CHEAT SMART. WANAWAKE WENGINE NI MAFIA BALAA
Subir ukimwi nayenyew sita inamichepuk na njia kuu zaoNaona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
Nilipata nafasi ya kuzungumza na yule mwanamke kwa kirefu. Jamaa alimuumiza sana mkewe for a long time, alinogewa na michepuko, akamsahau mkewe.Zaidi ya Mafia dahh
jela 3 years!!
mkewe kajiachia kiasi gani huku nje kipindi cha kifungo?
Muosha kweli huoshwa
Ee fanya kweli unafelia wapi sasa??Labda nikupe za huyu mchepuko
Sasa kama akili zako haziko tayari kukutenga Zealand usalama wako mwenyewe Basi hizo zitakuwa sio akili ila makamasi mazito sana.Sasa unakuta hata hiyo Twitter haifahamu mkuu...
Siyo Kila mchepu Ni akili kubwa ..
Mimi nina fm WhatsApp inanisaidia kiasi Ila kwa huyu dah Ni msumbufu .
Nawaza kupiga chini
Mitano tenaInstagram mumy
Yani kuna mada huko za ma ex,wanawake wanafunguka kuhusu ndoa zao
wanaume hawa walahi usijiumize kabisa kutaka kupambana na michepuko utajichosha
Basi utulie kimya wakati tunafanya yetuTuachike mtubatize majina mapya eeh..maana hamkawii
Umenikumbusha kisa flani hivi kilimkuta jamaa.alikua na michepuko miwili, na alikua anajisifu kwamba anaihandle fresh tu. Sasa kumbe wife wake alishashtukia mchezo siku nyingi.
Alitengeneza urafiki na moja ya mchepuko wa mumewe na akawa anamuuliza namna ya kudeal na mume wa mtu ( ikumbukwe mchepuko alikua hamjui wife wa jamaa, ila alikua anajua tu kaoa). Ushosti ukakolea na mchepuko ulimsaidia wife wa jamaa kua pro katika kuchepuka na waume za watu.
Siku moja wife wa jamaa alimualika huyo shost nyumbani kwake. Mchepuko ukaaga kwa jamaa kwamba anaenda kwa rafiki yake na atalala huko ( alimsimulia pia namna huyo rafiki yake alivyo pro kwenye kuchepuka na waume za watu na moja ya mchepuko wake alikua mtu mzito jeshini)
Huyo jamaa nae fala.. utampigaje wife wakati we ndio umezingua?
Wife wa jamaa anamwambia mumewe kwamba kuna rafiki yake atakuja kumsalimu na atalala. Jioni jamaa anarudi home anakuta mchepuko na wife wako jikoni wanapiga story, wife anamtambulisha yule shosti kwamba yule ni mume wake!
Aiseee jamaaa alipaniki na alikosa uvumilivu.akamvamia wife na kumshushia kipigo heavy nusura auwe!
Jamaa akaishia jela, 3 years akatumikia. Ametoka mwaka jana disemba na ndo akanipa story nini kilitokea.
MAKE SURE YOU CHEAT SMART. WANAWAKE WENGINE NI MAFIA BALAA