Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Huyo mchepuko lazima nae awe na kidumu, sasa sijui kati yenu nani ataitwa mchepuko. Mwanamke anahitaji mtu wa kumpa support, kuwa karibu nae..sasa kwa hali hii ya no calls, no sms wala whatsapp unadhani atakubali tu kukuangalia? Hapo mzee mnapeana zamu tu na jamaa mwingine, when you're in..someone is out!!

Fresh tu, Maisha yako balanced sana ! Uwe unamtumia text na kumpigia ujuavyo huyo demu wako..! Siku moja tu ataingia 18 za wahuni wakukunjie mapaka anakudharau. Kwahiyo mimi namchukuliaga demu wangu kuwa ananicheat so akija kunicheat hainiumizi kichwa na hapo ndio nitoleee na Natafuta Mwingine.
 
Hata " mawaifu" wanasoma hapa so kuwa makini katika majukumu haya

Watu wanauza siri za kambi .! Uzuri Mke wangu sijui yumo humu au lah..! Ila mimi natumiaga ID za kumi so anaijua moja nyingine huwa nam stalk kimya kimya akijua kibenten kimejilengesha
 
Fresh tu, Maisha yako balanced sana ! Uwe unamtumia text na kumpigia ujuavyo huyo demu wako..! Siku moja tu ataingia 18 za wahuni wakukunjie mapaka anakudharau. Kwahiyo mimi namchukuliaga demu wangu kuwa ananicheat so akija kunicheat hainiumizi kichwa na hapo ndio nitoleee na Natafuta Mwingine.
Tutampelekea Moto.
Control and choice.
 
Mkuu tafuta kisimu kidogo na laini mpya ukifika home unakazima


Au tafuta laini ya ziada ukifika home unaitoa mbona simple mkuu


Sina mcgepuko Mke wangu pombe
 
Unapokuwa na mchepuko, just be aware kwamba you're in the chain. Siamini kama mwanamke anaweza kuwa mchepuko wako na akatulia na wewe tu wakati anajua kabisa una mke, I just can't buy it!
True story

except for few saints
 
Naona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
Mbona we mwenyewe bado amateur
Watu wanamute kabisa no notification kwenye screen
 
Ntamuabisha ukoo mzima na nitachukua vizibiti vyote ntajitahidi kufatilia na kuvipata then ntaenda kanisani kwa baba paroko ndoa ivunjwe. Kwa sababu ndoa itavunjika tuu ikiwa kuna uzinzi umefanyika. Shida ni kwamba huwa tunawaza watoto mara familia ila hatuwazi magonjwa,mateso kwa familia ikiwa huyo mchepuko atamchukua akili mazima huyo baba. Na itabaki kuwa aibu kwake maana itajulikana alikua na mke ila hakua mwaminifu.
Ukikua utaelewa

Kwa africa hii ni wastage of time
Ni sifa kuwa na michepuko sio fedheha

dawa ni kuendelea na 'yako'..
 
Umenikumbusha kisa flani hivi kilimkuta jamaa.alikua na michepuko miwili, na alikua anajisifu kwamba anaihandle fresh tu. Sasa kumbe wife wake alishashtukia mchezo siku nyingi.
Alitengeneza urafiki na moja ya mchepuko wa mumewe na akawa anamuuliza namna ya kudeal na mume wa mtu ( ikumbukwe mchepuko alikua hamjui wife wa jamaa, ila alikua anajua tu kaoa). Ushosti ukakolea na mchepuko ulimsaidia wife wa jamaa kua pro katika kuchepuka na waume za watu.
Siku moja wife wa jamaa alimualika huyo shost nyumbani kwake. Mchepuko ukaaga kwa jamaa kwamba anaenda kwa rafiki yake na atalala huko ( alimsimulia pia namna huyo rafiki yake alivyo pro kwenye kuchepuka na waume za watu na moja ya mchepuko wake alikua mtu mzito jeshini)

Wife wa jamaa anamwambia mumewe kwamba kuna rafiki yake atakuja kumsalimu na atalala. Jioni jamaa anarudi home anakuta mchepuko na wife wako jikoni wanapiga story, wife anamtambulisha yule shosti kwamba yule ni mume wake!
Aiseee jamaaa alipaniki na alikosa uvumilivu.akamvamia wife na kumshushia kipigo heavy nusura auwe!
Jamaa akaishia jela, 3 years akatumikia. Ametoka mwaka jana disemba na ndo akanipa story nini kilitokea.

MAKE SURE YOU CHEAT SMART. WANAWAKE WENGINE NI MAFIA BALAA
 
Mimi niko njia kuu. nilitaka kuvunja ndoa yangu kiboya maana kuna wanawake wengine wakithibitisha ume cheat hawasamehi (Mke wangu yuko ivo) sawa najua akinishika hatutaachana ila haiwezi kurudi kuwa kama zamani. Hili nililijua baada ya kuchepuka kilicho nisaidia wife alijua bado nafukuzia sijapiga ndo mambo kuwa sawa ila ilikuwa ni balaa. Laiti angejua kuwa nishapiga mara kibao sijui ingekuwaje.

Saivi sifanyi mahusiano na michepuko ila mechi za ugenini nacheza.
 
Umenikumbusha kisa flani hivi kilimkuta jamaa.alikua na michepuko miwili, na alikua anajisifu kwamba anaihandle fresh tu. Sasa kumbe wife wake alishashtukia mchezo siku nyingi.
Alitengeneza urafiki na moja ya mchepuko wa mumewe na akawa anamuuliza namna ya kudeal na mume wa mtu ( ikumbukwe mchepuko alikua hamjui wife wa jamaa, ila alikua anajua tu kaoa). Ushosti ukakolea na mchepuko ulimsaidia wife wa jamaa kua pro katika kuchepuka na waume za watu.
Siku moja wife wa jamaa alimualika huyo shost nyumbani kwake. Mchepuko ukaaga kwa jamaa kwamba anaenda kwa rafiki yake na atalala huko ( alimsimulia pia namna huyo rafiki yake alivyo pro kwenye kuchepuka na waume za watu na moja ya mchepuko wake alikua mtu mzito jeshini)

Wife wa jamaa anamwambia mumewe kwamba kuna rafiki yake atakuja kumsalimu na atalala. Jioni jamaa anarudi home anakuta mchepuko na wife wako jikoni wanapiga story, wife anamtambulisha yule shosti kwamba yule ni mume wake!
Aiseee jamaaa alipaniki na alikosa uvumilivu.akamvamia wife na kumshushia kipigo heavy nusura auwe!
Jamaa akaishia jela, 3 years akatumikia. Ametoka mwaka jana disemba na ndo akanipa story nini kilitokea.

MAKE SURE YOU CHEAT SMART. WANAWAKE WENGINE NI MAFIA BALAA
Zaidi ya Mafia dahh

jela 3 years!!

mkewe kajiachia kiasi gani huku nje kipindi cha kifungo?
Muosha kweli huoshwa
 
Naona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
Subir ukimwi nayenyew sita inamichepuk na njia kuu zao
 
Sasa unakuta hata hiyo Twitter haifahamu mkuu...
Siyo Kila mchepu Ni akili kubwa ..
Mimi nina fm WhatsApp inanisaidia kiasi Ila kwa huyu dah Ni msumbufu .
Nawaza kupiga chini
Sasa kama akili zako haziko tayari kukutenga Zealand usalama wako mwenyewe Basi hizo zitakuwa sio akili ila makamasi mazito sana.
Kuna ugumu gani kumfundisha ili uwe salama?
 
Umenikumbusha kisa flani hivi kilimkuta jamaa.alikua na michepuko miwili, na alikua anajisifu kwamba anaihandle fresh tu. Sasa kumbe wife wake alishashtukia mchezo siku nyingi.
Alitengeneza urafiki na moja ya mchepuko wa mumewe na akawa anamuuliza namna ya kudeal na mume wa mtu ( ikumbukwe mchepuko alikua hamjui wife wa jamaa, ila alikua anajua tu kaoa). Ushosti ukakolea na mchepuko ulimsaidia wife wa jamaa kua pro katika kuchepuka na waume za watu.
Siku moja wife wa jamaa alimualika huyo shost nyumbani kwake. Mchepuko ukaaga kwa jamaa kwamba anaenda kwa rafiki yake na atalala huko ( alimsimulia pia namna huyo rafiki yake alivyo pro kwenye kuchepuka na waume za watu na moja ya mchepuko wake alikua mtu mzito jeshini)
Huyo jamaa nae fala.. utampigaje wife wakati we ndio umezingua?

Wife wa jamaa anamwambia mumewe kwamba kuna rafiki yake atakuja kumsalimu na atalala. Jioni jamaa anarudi home anakuta mchepuko na wife wako jikoni wanapiga story, wife anamtambulisha yule shosti kwamba yule ni mume wake!
Aiseee jamaaa alipaniki na alikosa uvumilivu.akamvamia wife na kumshushia kipigo heavy nusura auwe!
Jamaa akaishia jela, 3 years akatumikia. Ametoka mwaka jana disemba na ndo akanipa story nini kilitokea.

MAKE SURE YOU CHEAT SMART. WANAWAKE WENGINE NI MAFIA BALAA
 
Narudia tena “TUNAPOCHEPUKA SIO KWAMBA HATUWAPENDI” sisi ni plug n play. Don’t take that on you kuanza kujiona sijui sio mzuri, sijui huthaminiki, sijui hupendwi etc. Mnatanguliza “Ego” sana kwenye hii ishu. The biggest mistake that you can make after experiencing romantic betrayal is believing that it’s about you. You make the act more painful by taking it personally. By telling yourself that your partner’s infidelity is the result of you lacking in some area or your partner not caring for you as he should. That’s your biggest mistake.

Love is love and sex is sex, you should know that. And love isn’t enough to keep a man from cheating on you.

Ushauri:
Kitu pekee kinachofanya baadhi ya wanaume tusicheat ni “mastery of self” which mara nyingi huwa tumejengewa na ninyi wake/wapenzi wetu. This is all about sisi kuskip hizi incidences Kwa kuona michepuka will do us “disservice”, we see them ain’t capable of delivering extraordinary Kwa hiyo tunapotezea. So make your man a “self mastery”
 
Back
Top Bottom