Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Kwanza Salam kwenu wakuu

Ninapenda kuwafahamisha wanawake/wake zetu kuwa hakuna kazi ngumu kama kuhandle michepuko isiingiliane na shughuli za kila siku ndani ya ndoa /nyumba.

Kuna michepuko ambayo unakuta inatambua kuwa umeoa inakuwa inakutafuta siku ya dudu jeupe tuu, mingine siku ikitaka pesa.
Mingine inaelewa kuwa umeoa na inaheshimu ndoa, inasubiri mpaka uitafute wewe ndo muwe mnafanya mawasiliano.

Sasa kuna kichwa maji, bogus, Fakeni na Tablalasa; hiyo haielewi kila muda ni calls, SMS na faken shits nyingine. Kwa kiasi inakera na mara nyingi unakuta ni mafresheshers kwenye suala la kupeana utamu.

Sasa mwenzenu yamenikuta. Kuna pisi moja first year uni moja, Pisi Kali matata nikaamua kuifanyia kazi kiuzoefu nikijua ni Pro kumbe ni amateur. Nikaanza na Mikiki ya kuipagawisha kunako bed ili ilainike niikule vilivyo next time nipate Tunda isinione Fala.

Nikatumia ujuzi wangu wote kumbe Fresher. Kapagawa sasa kila siku anapiga simu na SMS za kuzidi.

Sasa imefikia hadi job anakuja. Wifey nahisi kashtukia mchezo ila kakaa kimya.

NATAFUTA HANDLER WA HUYU MCHEPUKO.
wasilina n mchepuko kwa land line tena ya kibandani tu.
 
Wanawake mnalia ndoa zimewashinda si muachike ya Nini kukomaa na ndoa ambayo haikupi Amani
Mnataka kufurahisha jamii..!

Sent using Jamii Forums mobile app

Inawezekana ndoa ikawa chungu ila haindoi kuwa bado nampenda mume wangu,ndoa sio happy moments tu,kuna magumu tena ambayo hukuwahi kuya tarajia kama bado una upendo kwa mwenza wako endelea kukomaa
Upendo ukiisha na timbwili bado zinaendelea ndio ushauri wako unafanya kazi
Hivyo hatuondoki kwasababu upendo kwa mume bado upo
 
Kuna mtu kakuta chupi kwenye suruali ya mume
Mwingine kaambiwa kwani we huna ex wako
Yani vituko mpaka nimewaza hivi kwanini wanaume wanaoa kama wanasumbua wanawake kiasi hicho
😂😂😂😂 Hatareee....juzi juzi alikuwa anaelezea Mambo ya soulmate ..kila anayepita kwenye comments anaandika" huyu ni Mimi kabisa na ndoa yangu"...🤣🤣🤣🤣 Inahuzunisha wakati mwingine ila Hakuna namna
 
Some men real dont know and cant read our minds. Hatueleweki na hatujawahi kueleweka. Yaan unadhani nikakushika halaf ukakana na kuleta sababu luluki nikakuitikia yea kwamba ndo nimemaanisha nimekuamini ama ndo unasema ukweli? Akili ya mwanamke works like a computer. Tukikaa kimya its simply because we are avoiding fights. Musituchukulie hivi poa.
Kabisa.
 
Hatareee....juzi juzi alikuwa anaelezea Mambo ya soulmate ..kila anayepita kwenye comments anaandika" huyu ni Mimi kabisa na ndoa yangu"...🤣🤣🤣🤣 Inahuzunisha wakati mwingine ila Hakuna namna

na inapoelekea wameanza kutaja majina ya michepuko kule
Kuna kitu wanaume wanaweza kujifunza kwa ile page,wanawake ni watu wa visasi usiamini eti kakusamehe

Kuna mmoja wameomba achongewe sanamu likae pale ubungo ni baada ya kugundua mmewe anatoka na ex na huyo ex kasha olewa yeye pia kaamua kutoka na mume wa ex wa mumewe
Havichekeshi lakini hivyo ndio mwanamke hureact akiona hawezi kupambana na mumewe kwa njia hii anatafuta nyingine mwishoni anae umia zaidi ni mwanaume
 
na inapoelekea wameanza kutaja majina ya michepuko kule
Kuna kitu wanaume wanaweza kujifunza kwa ile page,wanawake ni watu wa visasi usiamini eti kakusamehe

Kuna mmoja wameomba achongewe sanamu likae pale ubungo ni baada ya kugundua mmewe anatoka na ex na huyo ex kasha olewa yeye pia kaamua kutoka na mume wa ex wa mumewe
Havichekeshi lakini hivyo ndio mwanamke hureact akiona hawezi kupambana na mumewe kwa njia hii anatafuta nyingine mwishoni anae umia zaidi ni mwanaume
Uwiiii....hicho kisasi Cha ex kutoka na ex na Mume wa ex ni hatari Aisee....wanaume wangetulia yote yasingetokea
 
Imeandikwa: “ Aziniye na mwanamke hana akili kabisa “
Tena afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake, tena atapata fedheha na kuvunjiwa heshima”

Mithali 6: 32-33

Tafakarini
 
Back
Top Bottom