TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Ni kweli mkuu,hata kama sizingekuwepo hizi tetezi jamaa wanafanana sana!
mhhhhhhh, may be this is true. see how they looks like.
Ni kweli mkuu,hata kama sizingekuwepo hizi tetezi jamaa wanafanana sana!
mhhhhhhh, may be this is true. see how they looks like.
Hii haikubaliki kwani usultani tulishautokomeza siku nyingi sana!Sa cha ajabu hapo ni kipi,kwani haiwezekani kuwa hvyo ili kulinda maslahi yao mkuu?
Ni taarifa za kweli, lakini they share baba, sio mama. Baba wa JK alikuwa ni mtumishi wa serikali ya mkoloni, hakuwa mlala hoi mfuga mbuzi kijijini, so was baba mzazi wa Anna Makinda, Profesa Mwandosya n.k. Baba wa JK alikutana na mama wa Membe katika mizunguko yake ya kikazi, na huyu mama alikuwa ni sista miaka ya kabla. Ndio maana ni kawaida kwa JK mara moja moja kuelezea jinsi gani amelelewa pia katika mazingira ya kikristo.
Ni taarifa za kweli, lakini they share baba, sio mama. Baba wa JK alikuwa ni mtumishi wa serikali ya mkoloni, hakuwa mlala hoi mfuga mbuzi kijijini, so was baba mzazi wa Anna Makinda, Profesa Mwandosya n.k. Baba wa JK alikutana na mama wa Membe katika mizunguko yake ya kikazi, na huyu mama alikuwa ni sista miaka ya kabla. Ndio maana ni kawaida kwa JK mara moja moja kuelezea jinsi gani amelelewa pia katika mazingira ya kikristo.
Ndio maana kuna wakati Membe alitamba kwamba akijiuzuru hatuwezi kupata waziri mwingine kama yeye!!!
Haijaniuma ila huo uongo wako, maana hao wengine nawafahamu mpaka asili na fasili zao.
Mkuu mbona Benard Membe amesoma Itaga Seminary?
JF ni kboko!!!! Juzi hapa mmemtuliza Nape na kumbandikia mpaka picha.Habarini wanaJF!!!Kuna tetesi nimezisikia kwa muda mrefu sasa kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernad Membe ni ndugu wa damu na Mkuu wa Kaya Mh. Jakaya Kikwete.Waheshimiwa hawa wanashea mama lakini baba zao ni tofauti. Inasemekana pia nyoka huyu wa mdimu (kama alivyoitwa na bw. mudhihir bungeni wakati fulani) hata uwaziri ni kama amepewa zawadi na kaka yake.Tetesi hizi ni za kweli!?
Ukweli ni kwamba babake Jakaya alimtia mimba mamake Bernard akiwa sista huko Bagamoyo. Huyo mama alifukuzwa usista na kurudi kwao Lindi ambako alimzaa Bernard. Jakaya aliambiwa na babake kuwa kuna ndugu yake huko Lindi wakati huo Bernard akisoma Namupa Seminari huko huko Lindi. Ndugu hawa wawili hatimaye walikutana na wamekuwa karibu tangu wakati huo. This is an open secret.
Membe alisoma Itaga Seminari A'level wakati O'level alisoma seminari ya Namupa huko Lindi si mbali sana toka nyumani kwake pale Mtama (Ntama) karibu na Nyangao. Baada ya A'level Itaga seminary nadhani alienda Seminari Kuu Peramiho ambako alisoma hatua ya filosofia, alipotakiwa kuanza teolojia ndipo alipogeuka na kupindia upande wa walei.
mhhhhhhh, may be this is true. see how they looks like.
Dunia kuna mambo, Mtu anayeleta topic kama hizi anatufanya kuona mitandao ni kwa ajili ya wahuni maanake topic zisizokuwa na ushahidi wa kutosha zinaonekana kuandikwa wakati waandishi hao wakiwa katika vijiwe vya wenye kuvuta........... Nawaasa wana jf wenzangu tuandike mambo yenye vichwa na miguu. Maana wengine tunafaidika na mitandao hii kwa kupashana habari na kujadiliana kama waungwana. Tunashindwa kuchangia hoja kwa habari ambazo zinaonekana ni pumba tupu.
haka kathread ni kazuri mno...ngoja tuone mwisho wake...kwa ufupi tu hata mimi jk ni ndugu yangu nimemwoa dada yake anayezaliwa na dnamu yake yule ambaye wanachangia bibi upande wa ujombani kwa yule bibi aliye wahi kuolewa na kaka yake mama yake jk wa kufikiwa ambaye aliachika....
haka kathread ni kazuri mno...ngoja tuone mwisho wake...kwa ufupi tu hata mimi jk ni ndugu yangu nimemwoa dada yake anayezaliwa na dnamu yake yule ambaye wanachangia bibi upande wa ujombani kwa yule bibi aliye wahi kuolewa na kaka yake mama yake jk wa kufikiwa ambaye aliachika....
kweli mitaala ya elimu tz haipo!
Ina maana ulikuwa hujui?WAKUU vipi kuhusu na huyu mmiliki wa kiwanda cha kusindika maziwa iringa ASAS!!!!kuna chini ya kapeti mkuu wa kaya jk kaoa kabinti kake??
nani kakwambia this is serious issue?...kwani mimi kuelezea uhusiano nilionae kuna ubaya gani?on serious issues be serious too.this is a platform for mature and learned people.we do not entertain childish contributions.if you have nothing contribute just stay aside.
kupata binamu mkweree anaejua kidhungu ni kazi. Muacheni jk wa watu ana wakati mgumu sana.Ndio maana kuna wakati Membe alitamba kwamba akijiuzuru hatuwezi kupata waziri mwingine kama yeye!!!