Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,906
- 28,072
Mbunge wa kuteuliwa Zakia Megji je?
Mama mkwe..
Mbunge wa kuteuliwa Zakia Megji je?
Oa mmoja wa ndugu zake alafu kwenye vikao vya familia unakuwa mzungumzaji mkuu ili uonekane
Undugu wa Membe na Jk wamechangia mama? Mi najua Membe Mmwera na Jk ------.
Bila mashaka, hawa ni ndugu,
kwa faida nikutajie wachache wengine waliopewa nafasi na jkccm kwa sababu za undugu
jaji mkuu chande othman ni binamu yake pamoja na mdogo wake rashid othman ambaye ni mkuu wa idara ya usalama wa taifa.
Waziri wa elimu dk shukuru kawambwa naye ni mjomba na jkccm
mkuu wa polisi igp said mwema ni shemeji na jkccm kwani mwema amemwoa dada wa jkccm hajati amina mrisho ambaye alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa na baadae pwani na sasa amestaafu, lakini pia dk fatuma mrisho kikwete ambaaye alikuwa mkurugenzi wa tume ya ukimwi tacaids na baadaye akapewa kuwa mkurugenzi wa sensa 2012 ni dada wa jkccm gamba. Na wengine kibao
Ni taarifa za kweli, lakini they share baba, sio mama. Baba wa JK alikuwa ni mtumishi wa serikali ya mkoloni, hakuwa mlala hoi mfuga mbuzi kijijini, so was baba mzazi wa Anna Makinda, Profesa Mwandosya n.k. Baba wa JK alikutana na mama wa Membe katika mizunguko yake ya kikazi, na huyu mama alikuwa ni sista miaka ya kabla. Ndio maana ni kawaida kwa JK mara moja moja kuelezea jinsi gani amelelewa pia katika mazingira ya kikristo.
RaiaMbishi ... Mh! ... sasa ndo umeamua kumwaga kila kitu? ... ingawa kuna ukweli katika uliyoaandika nafikiri unawataja kwa majina wengine ambao hata hawahusiki na day to day activities za walengwa ... anyway ... ila Said siyo Mk.wereSio kweli, Meghji ana watoto watatu wa kiume na wawili wa kike, mkubwa jina lake ni Jamila, huyu ameolewa na mk.were mmoja anaitwa said muuza spea za magari na biashara nyingine na wanaishi maeneo ya mbezi beach, binti mwingine anaitwa Salma ameolewa na mtoto wa jenerali waitara ambae ni afisa ubalozi wetu huko ulaya. Msichana ambae anazungumzwa kama mtoto wa megji ni mzanzibari ambae familia yake ina ukaribu na familia ya meghji huko unguja na hilo ndio limechanganya watu. Kwa sasa, binti huyu inasemekana anaishi nje ya nchi - DUBAI.
...na inaonyesha ana hisa nyingi ndani ya hicho kiwanda...Kuna watu wanamiliki kiwanda cha kutengeneza uongo - JK
Bila mashaka, hawa ni ndugu,
kwa faida nikutajie wachache wengine waliopewa nafasi na jkccm kwa sababu za undugu
jaji mkuu chande othman ni binamu yake pamoja na mdogo wake rashid othman ambaye ni mkuu wa idara ya usalama wa taifa.
Waziri wa elimu dk shukuru kawambwa naye ni mjomba na jkccm
mkuu wa polisi igp said mwema ni shemeji na jkccm kwani mwema amemwoa dada wa jkccm hajati amina mrisho ambaye alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa na baadae pwani na sasa amestaafu, lakini pia dk fatuma mrisho kikwete ambaaye alikuwa mkurugenzi wa tume ya ukimwi tacaids na baadaye akapewa kuwa mkurugenzi wa sensa 2012 ni dada wa jkccm gamba. Na wengine kibao
Familia nyingine nuksi tupu, ukioa tarajia mitoto yenye ufaulu wa divisheni fooo
Kuna watu wanamiliki kiwanda cha kutengeneza uongo - JK