Membe na Kikwete ni ndugu

Membe na Kikwete ni ndugu

Status
Not open for further replies.
WAKUU vipi kuhusu na huyu mmiliki wa kiwanda cha kusindika maziwa iringa ASAS!!!!kuna chini ya kapeti mkuu wa kaya jk kaoa kabinti kake??
 
Hivi kura za maoni zinaanza lini huko kwenu wenzetu. Kwani haya ndo mnayajua leo????
 
Hivi Mwanaasha ameshachumbiwa...!??? naanza kuna maisha katika mwanga bora, ngoja hizi mvi nikapake ile vijana wanaita supu blaki
 
Bila mashaka, hawa ni ndugu,
kwa faida nikutajie wachache wengine waliopewa nafasi na jkccm kwa sababu za undugu
jaji mkuu chande othman ni binamu yake pamoja na mdogo wake rashid othman ambaye ni mkuu wa idara ya usalama wa taifa.
Waziri wa elimu dk shukuru kawambwa naye ni mjomba na jkccm
mkuu wa polisi igp said mwema ni shemeji na jkccm kwani mwema amemwoa dada wa jkccm hajati amina mrisho ambaye alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa na baadae pwani na sasa amestaafu, lakini pia dk fatuma mrisho kikwete ambaaye alikuwa mkurugenzi wa tume ya ukimwi tacaids na baadaye akapewa kuwa mkurugenzi wa sensa 2012 ni dada wa jkccm gamba. Na wengine kibao

Sijui kama unayosema kuhusu Jaji Mkuu ni sahihi. Kwa sababu sir name yake ni Chande,yeye ni Mohamed Chande, Othman SIYO jina lake. Othman ni jina la kaka yake.


There is something you must know-everything the government does is a legal action. But it may not be a lawful action.However,it will be presumed to be a lawful action unless it is timely and specifically objected to.
 
Ni taarifa za kweli, lakini they share baba, sio mama. Baba wa JK alikuwa ni mtumishi wa serikali ya mkoloni, hakuwa mlala hoi mfuga mbuzi kijijini, so was baba mzazi wa Anna Makinda, Profesa Mwandosya n.k. Baba wa JK alikutana na mama wa Membe katika mizunguko yake ya kikazi, na huyu mama alikuwa ni sista miaka ya kabla. Ndio maana ni kawaida kwa JK mara moja moja kuelezea jinsi gani amelelewa pia katika mazingira ya kikristo.

Sio kweli, Meghji ana watoto watatu wa kiume na wawili wa kike, mkubwa jina lake ni Jamila, huyu ameolewa na mk.were mmoja anaitwa said muuza spea za magari na biashara nyingine na wanaishi maeneo ya mbezi beach, binti mwingine anaitwa Salma ameolewa na mtoto wa jenerali waitara ambae ni afisa ubalozi wetu huko ulaya. Msichana ambae anazungumzwa kama mtoto wa megji ni mzanzibari ambae familia yake ina ukaribu na familia ya meghji huko unguja na hilo ndio limechanganya watu. Kwa sasa, binti huyu inasemekana anaishi nje ya nchi - DUBAI.
RaiaMbishi ... Mh! ... sasa ndo umeamua kumwaga kila kitu? ... ingawa kuna ukweli katika uliyoaandika nafikiri unawataja kwa majina wengine ambao hata hawahusiki na day to day activities za walengwa ... anyway ... ila Said siyo Mk.were

By the way, huu uzi huko unakoelekea! ... sijui .. ngoja tuone mwisho wake ...
 
Ndio maana kuna wakati Membe alitamba kwamba akijiuzuru hatuwezi kupata waziri mwingine kama yeye!!!
 
sioni tabu iwapo wana qualifications na uteuzi wao ulizingatia taratibu.
"ndugu lawama'' ni tatizo kubwa nchini.
 
Sasa Jk atampendekeza nani kugombea urais kwa ticket ya ccm kati ya Lowasa na Membe? Maana na Lowasa anatamba pia kwamba hawajakutana na JK barabarani!!!!
 
Huu uzi umekaa kimbeya zaidi, inabidi kuchungulia kwa mbali na kusepa.!
 
Ahsanteni sana...ati pia kuna tetesi wana undugu na huyu bwana ana jinaa timu ya taifa ya kina e'too?
 
Bila mashaka, hawa ni ndugu,
kwa faida nikutajie wachache wengine waliopewa nafasi na jkccm kwa sababu za undugu
jaji mkuu chande othman ni binamu yake pamoja na mdogo wake rashid othman ambaye ni mkuu wa idara ya usalama wa taifa.
Waziri wa elimu dk shukuru kawambwa naye ni mjomba na jkccm
mkuu wa polisi igp said mwema ni shemeji na jkccm kwani mwema amemwoa dada wa jkccm hajati amina mrisho ambaye alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa na baadae pwani na sasa amestaafu, lakini pia dk fatuma mrisho kikwete ambaaye alikuwa mkurugenzi wa tume ya ukimwi tacaids na baadaye akapewa kuwa mkurugenzi wa sensa 2012 ni dada wa jkccm gamba. Na wengine kibao

Ama wewe umezidi uwongo tena kweupeeeee!

Au kila mwenye jina la Mrisho ndiyo amekuwa ndugu wa Kikwete? Unawafahamu Amina Mrisho na Fatma Mrisho? Au tena ndiyo umewaongezea na hiyo surname ya Kikwete ili ujenge hoja?

Jamani kila aliye na surname ya Mushi, au Mwakibete au whatever ndiyo wanakuwa ndugu?

Wacheni uongo na kujenga hoja zisizokuwa na msingi.
 
Familia nyingine nuksi tupu, ukioa tarajia mitoto yenye ufaulu wa divisheni fooo

Wewe mwenyewe umepata division ngapi, na hao wanao wamepata ngapi, au ndiyo unasema wenzako kwa kuwa hatukufahamu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom