Membe na Kikwete ni ndugu

Membe na Kikwete ni ndugu

Status
Not open for further replies.
Wakuu...nipo Mwanza na jana nilikuwa katika kijiwe cha kahawa cha CCM pale Ghana, wazee kadhaa walikuwa wanajadili juu ya uhusiano wa damu wa Jakaya kikwete na Membe, kuna mmoja alisema kuwa, watu hawa ni ndugu akasema baba yake JK alizaa na mama mmoja huko Lindi ndo kuzaliwa kwa Membe...naamini humu kuna watu wanaofahamu ukweli wa swala hili vizuri watujuze Lengo ni kuweza kumfahamu hasa hasa huyu Membe ambaye anataka kuomba nafasi ya Urais.
 
Tetesi nilizisikia mwaka huyu mkuu alipoteuliwa kuwa waziri na nimekua nikizisikia mara kadhaa toka wakati huo leo asubuhi kwenye meza ya muuza magazeti pale morocco kuna mtu kasisitiza hilo,twaomba mwenye kujua zaidi.
 
ukishajua halafuuuuuuu HIV George w bush na George h bush ci ndugu? na bad anakuja jebb bush
 
nani Migiro na Baba ake Rizione?!
Inawezekana maana watoto wengi Baba ake Rizione hawajulikani mama zao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom