Membe na Kikwete ni ndugu

Membe na Kikwete ni ndugu

Status
Not open for further replies.
Ama wewe umezidi uwongo tena kweupeeeee!

Au kila mwenye jina la Mrisho ndiyo amekuwa ndugu wa Kikwete? Unawafahamu Amina Mrisho na Fatma Mrisho? Au tena ndiyo umewaongezea na hiyo surname ya Kikwete ili ujenge hoja?

Jamani kila aliye na surname ya Mushi, au Mwakibete au whatever ndiyo wanakuwa ndugu?

Wacheni uongo na kujenga hoja zisizokuwa na msingi.

Mbona imekuuma sana!!!
 
Ipo siku watafunguka wenyewe kuhusu undungu wao na kuhusu kupeana post bado muda kidogo na wote watafutika kwenye system unless wawe walipata hizo post kwa haki na asiwepo mtu wa kuwaondoa kwa visasi.
 
Yote tisa.Kumi ni kwenye urais ambapo kaka mtu atampigania mdogo wake awe rais wetu.??????!!!!

Sa cha ajabu hapo ni kipi,kwani haiwezekani kuwa hvyo ili kulinda maslahi yao mkuu?
 
Habarini wanaJF!!!Kuna tetesi nimezisikia kwa muda mrefu sasa kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernad Membe ni ndugu wa damu na Mkuu wa Kaya Mh. Jakaya Kikwete.Waheshimiwa hawa wanashea mama lakini baba zao ni tofauti. Inasemekana pia nyoka huyu wa mdimu (kama alivyoitwa na bw. mudhihir bungeni wakati fulani) hata uwaziri ni kama amepewa zawadi na kaka yake.Tetesi hizi ni za kweli!?

mhhhhhhh, may be this is true. see how they looks like.

 
Kwani Kikwete ni mtoto wa kweli wa Baba yake? inasemakana Mama yake alikuwa nyumba ndogo ya Mzee wa Kimasai wa Bagamoyo aitwae Ole mtumia, watu inasema ndio metia mimba ya kikwete. je ni ledio mbau?

sasa hapo pekundu ndo umeandika nini? mtoto anawezaje asiwe wa baba yake?,
kama ni baba yake basi kikwete ni mtoto wake.
leteni hoja za maana sio upuuzi huu, wewe unamjua baba yako au nawe umeambiwa tu,
kwa jinsi ulivyokosa adabu na mashaka kama haukudanganywa kwani naona tatizo la malezi kwako, nyoooooooooooooooooooo
 
Ana undugu na Obama pia wanafafana migongo
 
Ukweli ni kwamba babake Jakaya alimtia mimba mamake Bernard akiwa sista huko Bagamoyo. Huyo mama alifukuzwa usista na kurudi kwao Lindi ambako alimzaa Bernard. Jakaya aliambiwa na babake kuwa kuna ndugu yake huko Lindi wakati huo Bernard akisoma Namupa Seminari huko huko Lindi. Ndugu hawa wawili hatimaye walikutana na wamekuwa karibu tangu wakati huo. This is an open secret.
 
Hata Nape inasemekana mshua wake ni Mh Wazir.....hawa wakna Mwa wa mbeya uko
 
haka kathread ni kazuri mno...ngoja tuone mwisho wake...kwa ufupi tu hata mimi jk ni ndugu yangu nimemwoa dada yake anayezaliwa na dnamu yake yule ambaye wanachangia bibi upande wa ujombani kwa yule bibi aliye wahi kuolewa na kaka yake mama yake jk wa kufikiwa ambaye aliachika....
we ni zaidi ya comedian
 
Ukweli ni kwamba babake Jakaya alimtia mimba mamake Bernard akiwa sista huko Bagamoyo. Huyo mama alifukuzwa usista na kurudi kwao Lindi ambako alimzaa Bernard. Jakaya aliambiwa na babake kuwa kuna ndugu yake huko Lindi wakati huo Bernard akisoma Namupa Seminari huko huko Lindi. Ndugu hawa wawili hatimaye walikutana na wamekuwa karibu tangu wakati huo. This is an open secret.
Mkuu mbona Benard Membe amesoma Itaga Seminary?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom