Membe na Kikwete ni ndugu

Membe na Kikwete ni ndugu

Status
Not open for further replies.
mkuu kwa hili sijui,ila ninacho juwa nikwamba ni ndugu,ila kuna wengne wanasema jk kabla ya kuowa mama salma membe ndiye aliyekuwaga anakuna naz ya mama salma!
 
Mimi ninavyoelewa,huyu mmoja ni Joka la Mdimu kutoka Mtwara na huyu mwingine ni Dhaifu kutoka Msoga,sasa hapo utapima na kuelewa wewe mwenyewe.
 
Ni kweli ni ndugu wa baba mmoja mama mbalimbali.

Niliwahi kuleta mada kama hii ikafutwa.
 
baba mmoja mama mbalimbali/sasa kama baba moja mbona majina ya ubini ni tofauti sana,how?labda iwe baba mbali*2,mama mmoja
 
mkuu kwa hili sijui,ila ninacho juwa nikwamba ni ndugu,ila kuna wengne wanasema jk kabla ya kuowa mama salma membe ndiye aliyekuwaga anakuna naz ya mama salma!
Uns hatari siku hizi wanatress IP adresse utaitwa kwenda kuthibitisha ndo halo utanyea debe
 
Kwanza ------ na Mmwera wapi na wapi bora hata ingekuwa ------ na Mndengereko
 
Leo naomba kujua uhusiano wa damu kati ya Benard Membe na Rais Kikwete!

Mwenye kujua uhusiano wa ki-ndugu uliopo kati ya watu hawa wawili atusaidie ili tusiojua tufahamu na sisi.
 
Hao ndugu toka kitambo:

Wamezaliwa na Mama mmoja ila Baba Tofauti
 
Ungewapigia simu ingekuwa jambo jema sana lakini humu jf unatusumbua tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom