SUPPER GLORY
Member
- Oct 15, 2018
- 9
- 22
Ukitaka iwe hivyo kwa urahisi, tumia ushawishi wako ulionao na ukamshawishi huyo Membe ahamie hata UKAWA agombee nafasi ya urais akiwa huko ili 2020 wakutane kwenye majukwaa na Magufuli halafu baada ya tarehe 25 October 2020 uje uniambie kati yao hao wawili nani amepita! Mnaumiza akili tu kwa jambo jepesi sana.Naona amewashika kende kweli sisi tunajadili 2020....nimesema kama Magu anapendwa kwanini tubishane, 2020 waweke JPM vs Membe afu pawe na usawa nadhani ata wewe jibu unalo