Kazi yetu ni kuchochea kuni mengine mtajuana wenyewe.Yaani makamanda wana dharau sana. Eti urais hawamuwazi mbow wala lis wala edo eti ni membe hahahah
Hivi wanaompigia chapuo ni makamanda eeeh? Usiniambie wanahofiwa CCYaani makamanda wana dharau sana. Eti urais hawamuwazi mbow wala lis wala edo eti ni membe hahahah
Membe alihamia ukawa je?Me ni CCM ila 2020.... namfyeka muuaji na mtekaji
Swali dume hili.Kama hana jipya kwanini uitegemee kamati ya maadili.
Kwani kwenye kinyanganyiro cha kumteuwa mgombeaji kwenye chama cha CCM 2015 Magufuli na Membe wote si waliomba kuteuliwa? Je, kati ya hao wawili, ni nani alipita na kuchaguliwa kuwa Rais? Hizi kelele mnazopiga wala hazina maana. Membe afikirie tu Urais 2025 na siyo 2020! Kama hautaki, ukweli ndiyo huo!Kuwa mpole ukitaka kujua hana jipya mpange Membe Vs JPM pawe na usawa, iwe nje au ndani ya CCM, au kwa kura za Watanzania, Membe anashinda kirahisi,..... Kama hana mvuto muache afu wawapambanishe na MAGU jibu utalipata na nadhani unalijua
kwa hiyo kwa sasa upande wa Ukawa EDO hana nafasi tena?
Nilidhani Tundu Antipas Lisu karejea nchini kuchukua mikoba ya Mbowe aliyeko magereza Segerea!
jipya alilonalo na tunalolichochea ni mgogoro unaokipasua chama.Ndugu yangu! Huyo Membe hana jipya. Kama angekuwa na ushawishi aliyokuwa nao Lowassa mwaka 2015, tungesema sawa. Lakini kwa sasa usitegemee lolote jipya kutoka kwa Membe. Hii ni kutafuta tu front page na kiki kwenye vyombo vya habari. Kamati ya maadili ya chama iliyomkata bwana Lowasa 2015, naamini bado ipo palepale hata huyo akiruhusiwa kuchukua fomu ya kuteuliwa ndani ya chama kugombea urais itafanya kazi yake tu. Hivyo, suala la Membe mimi naona kuwa watu wanapoteza muda wao tu kulijadili.
Tatizo liko hapo kwenye fair play......Kuwa mpole ukitaka kujua hana jipya mpange Membe Vs JPM pawe na usawa, iwe nje au ndani ya CCM, au kwa kura za Watanzania, Membe anashinda kirahisi,..... Kama hana mvuto muache afu wawapambanishe na MAGU jibu utalipata na nadhani unalijua
Kinyanganyiro cha kuanza kuomba ridhaa ya kuwania nafasi hiyo kwa mjibu wa kanuni za chama bado. Sasa yeye akianza harakati hizi mapema sana, yatamkuta yale yaliyomkuta ndugu LOWASA. Someni kanuni za chama nadhani ndiyo mtayajua haya. Lakini mkiwa mashabiki tu, hamtayajua.Swali dume hili.
Kuna vitu vinanyong'onyesha tz aiseee.kwa hiyo kwa sasa upande wa Ukawa EDO hana nafasi tena?
Hii ni kama fisi anapomfuata binadamu akitegemea kuwa mkono wake utadondoka ili autafune, kumbe siyo hivyo. Subirini tu!jipya alilonalo na tunalolichochea ni mgogoro unaokipasua chama.
Mzee Meko ni mwoga sana, hajiamini, ni mtu mwenye hofu muda wote, na ndio inapelekea kufanya matendo yote mabaya kwa wale wote walio kinyume na mawazo yake.
Kwa kuwa ana Kadi ya ChademaMembe chaguo la wanachadema
Kweli mmeishiwa hoja kwahyo, ccm imewabadili kabisa mnaanza kucheza ngoma yake kukicha tayar washanyakua kiti,...
Kumbe wewe ni mmoja wa wachumia tumbo ndani ya CCM nadhani huwafai wana MAPINDUZI mkuu.Me ni CCM ila 2020.... namfyeka muuaji na mtekaji
Mambo hubadilika usitegemee yaliyotokea miaka mitano iliyopita yatokee leo.Kwani kwenye kinyanganyiro cha kumteuwa mgombeaji kwenye chama cha CCM 2015 Magufuli na Membe wote si waliomba kuteuliwa? Je, kati ya hao wawili, ni nani alipita na kuchaguliwa kuwa Rais? Hizi kelele mnazopiga wala hazina maana. Membe afikirie tu Urais 2025 na siyo 2020! Kama hautaki, ukweli ndiyo huo!
nisubir Musiba atoe ushahidi au nisubiri Msekwa ajibizane na Bashiru??Hii ni kama fisi anapomfuata binadamu akitegemea kuwa mkono wake utadondoka ili autafune, kumbe siyo hivyo. Subirini tu!