SUPPER GLORY
Member
- Oct 15, 2018
- 9
- 22
Subiri Membe awe Rais wa Tanzania mwaka 2020!!!!nisubir Musiba atoe ushahidi au nisubiri Msekwa ajibizane na Bashiru??
Subiri Membe awe Rais wa Tanzania mwaka 2020!!!!nisubir Musiba atoe ushahidi au nisubiri Msekwa ajibizane na Bashiru??
Hapana, aliyerejea ni mgombea urais mtarajiwa wa CCM.Nilidhani Tundu Antipas Lisu karejea nchini kuchukua mikoba ya Mbowe aliyeko magereza Segerea!
Hamjambo hapo kandawe?Tatizo liko hapo kwenye fair play......
Yani hapo ingekuwa kote kote...Nje nadni.
Kuna watu wanadhani upinzani wanamtaka Membe.jipya alilonalo na tunalolichochea ni mgogoro unaokipasua chama.
Usilolijua kwa uhakika litakusumbua! Ukiongeza hizi kampeni za kuganja njaa huku moyo wako umejikunyata ndio shida ilipo! Kamati unayoiita ni ya maadili haina ussue siku hizi na ilidharauliwa mapema tu baada ya uchaguzi na haijawahi kukutana wala kuitwa! Isitoshe ndio inayobeba lawama zote hizi kwa kumkata Lowasa kishabiki.Ndugu yangu! Huyo Membe hana jipya. Kama angekuwa na ushawishi aliyokuwa nao Lowassa mwaka 2015, tungesema sawa. Lakini kwa sasa usitegemee lolote jipya kutoka kwa Membe. Hii ni kutafuta tu front page na kiki kwenye vyombo vya habari. Kamati ya maadili ya chama iliyomkata bwana Lowasa 2015, naamini bado ipo palepale hata huyo akiruhusiwa kuchukua fomu ya kuteuliwa ndani ya chama kugombea urais itafanya kazi yake tu. Hivyo, suala la Membe mimi naona kuwa watu wanapoteza muda wao tu kulijadili.
unatumia hisia zako tu, hujui nguvu ya magufuli wewe!Kuwa mpole ukitaka kujua hana jipya mpange Membe Vs JPM pawe na usawa, iwe nje au ndani ya CCM, au kwa kura za Watanzania, Membe anashinda kirahisi,..... Kama hana mvuto muache afu wawapambanishe na MAGU jibu utalipata na nadhani unalijua
Kwani ulishamsikia Membe akisema kitu au ni woga wenu.Kinyanganyiro cha kuanza kuomba ridhaa ya kuwania nafasi hiyo kwa mjibu wa kanuni za chama bado. Sasa yeye akianza harakati hizi mapema sana, yatamkuta yale yaliyomkuta ndugu LOWASA. Someni kanuni za chama nadhani ndiyo mtayajua haya. Lakini mkiwa mashabiki tu, hamtayajua.
tunamtaka abaki huko-huko akipasue chama chake.Kuna watu wanadhani upinzani wanamtaka Membe.
Mkuu huyo Membe hata 2025 hawezi kuwa raisi wa nchi hii, kashaharibu.Lowassa alitaka Kum challenge JK 2010 akaanza kujitengenezea njia tena akiwa PM, muulize kilichomkuta.Amebaki kuwa raisi wa mitandaoni.Na huyu Membe nae hivyo hivyo atabaki kuwa raisi wa mitandaoni tu.Kwani kwenye kinyanganyiro cha kumteuwa mgombeaji kwenye chama cha CCM 2015 Magufuli na Membe wote si waliomba kuteuliwa? Je, kati ya hao wawili, ni nani alipita na kuchaguliwa kuwa Rais? Hizi kelele mnazopiga wala hazina maana. Membe afikirie tu Urais 2025 na siyo 2020! Kama hautaki, ukweli ndiyo huo!
Membe ni mwanaccm atagombea kwa tiketi ya CCM.Membe ndiyo mgombea urais wa chadema 2020
Bavichaa Jiandae kumpigia kampeni na kumsafisha.
Lisu ameumia mno kutoswa na Bavicha
Mwenzake mr. Slim kawaachia wapinzani wake jana na aliiona nguvu ya umma ilivyoingia barabarani kuwalaki na kuwashangilia licha ya ule ulinzi! Kama kweli unatenda haki uoga unatoka wapi!?Mzee Meko ni mwoga sana, hajiamini, ni mtu mwenye hofu muda wote, na ndio inapelekea kufanya matendo yote mabaya kwa wale wote walio kinyume na mawazo yake.
Hili swali ukimuuliza Mwenyekiti wenu hapo Lumumba anaweza akakukata makofi. Yaani utapambanaje na Edo kabla hujakivuka kikombe cha Membe?!kwa hiyo kwa sasa upande wa Ukawa EDO hana nafasi tena?
Hahahaa....... Rais tunaye na anachapa kazi kama kawa......tatizo Ufipa haitakuwa na Mwenyekiti hadi February 2019 mahakama itakapotoka likizo!Hapana, aliyerejea ni mgombea urais mtarajiwa wa CCM.
Aliamia lini... Tulia dawa iwaingieMembe alihamia ukawa je?
Hawezi rudi uyoSwali dume hili.
Mkuu watu hawatafuti nani ana ushawishi kilichopo hapa inatafutwa replacement ya huyu jamaa aliyefanya maisha yawe magumu. Anayetusomesha tarakimu kila siku.Ndugu yangu! Huyo Membe hana jipya. Kama angekuwa na ushawishi aliyokuwa nao Lowassa mwaka 2015, tungesema sawa. Lakini kwa sasa usitegemee lolote jipya kutoka kwa Membe. Hii ni kutafuta tu front page na kiki kwenye vyombo vya habari. Kamati ya maadili ya chama iliyomkata bwana Lowasa 2015, naamini bado ipo palepale hata huyo akiruhusiwa kuchukua fomu ya kuteuliwa ndani ya chama kugombea urais itafanya kazi yake tu. Hivyo, suala la Membe mimi naona kuwa watu wanapoteza muda wao tu kulijadili.
Naona amewashika kende kweli sisi tunajadili 2020....nimesema kama Magu anapendwa kwanini tubishane, 2020 waweke JPM vs Membe afu pawe na usawa nadhani ata wewe jibu unaloKwani kwenye kinyanganyiro cha kumteuwa mgombeaji kwenye chama cha CCM 2015 Magufuli na Membe wote si waliomba kuteuliwa? Je, kati ya hao wawili, ni nani alipita na kuchaguliwa kuwa Rais? Hizi kelele mnazopiga wala hazina maana. Membe afikirie tu Urais 2025 na siyo 2020! Kama hautaki, ukweli ndiyo huo!
Hujui ngoma inavyochezwa wewe subiri kushangilia.Kweli mmeishiwa hoja kwahyo, ccm imewabadili kabisa mnaanza kucheza ngoma yake kukicha tayar washanyakua kiti,...
Hata waandishi wenu wanawapamba vigogo Wa ccm..
Wanajua nguvu ya Membe sema wanajitoa ufahamuTatizo liko hapo kwenye fair play......
Yani hapo ingekuwa kote kote...Nje nadni.
Wana CCM wenzangu 2020 tusifanye makosa,fyekelea mbali dikiteta uchwara,twende na Mwanadiplomasia nguli.Chaguo la wana ccm. View attachment 958734