FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,889
- 109,220
Mkulima wa Tanzania sasa hivi ana kituo cha kisasa cha huduma kwa mtej (,Customer care).
Bashe kwa mara ya kwanza Tanzania, anaifanya Wizara ya kilimo kuwa ni watoa huduma wa kisasa kwa wakulima. Jionee:
Mengine tutaendelea kuwaletea.
Hongera Bashe, Hongera Rais Samia.
===
Waziri Hussein Bashe amezindua kituo cha kidigatali cha kuhudumia wakulima, ambao kituo hicho kitasaidia kuwa unganisha wakulima na maafisa ugani walioko katika maeneo yao.
Wakulima wanatakiwa watumie namba ya kituo ambao watumishi wa wizara ya Kilimo watawaunganisha na maafisa ugani. Aidha vituo vya huduma kwa wateja vitakuwa vinapokea malalamiko mengine yote na kuelezea hali ya soko.
Bashe kwa mara ya kwanza Tanzania, anaifanya Wizara ya kilimo kuwa ni watoa huduma wa kisasa kwa wakulima. Jionee:
Mengine tutaendelea kuwaletea.
Hongera Bashe, Hongera Rais Samia.
===
Waziri Hussein Bashe amezindua kituo cha kidigatali cha kuhudumia wakulima, ambao kituo hicho kitasaidia kuwa unganisha wakulima na maafisa ugani walioko katika maeneo yao.
Wakulima wanatakiwa watumie namba ya kituo ambao watumishi wa wizara ya Kilimo watawaunganisha na maafisa ugani. Aidha vituo vya huduma kwa wateja vitakuwa vinapokea malalamiko mengine yote na kuelezea hali ya soko.