ewe sliding roof, nakuuliza tena, una uhakika watu zaidi ya elfu 2000 wamefariki?? Kama huna uhakika usidanganye umma ili kupata umaarufu kupitia vifo,,,, kuna thread kule habari na hoja mchanganyiko jamaa kasema ana uhakika waliokua kwenye meli ni watu 610, coz ndo tiketz zilizokatwa,,, hawa 2000 wanatoka wapi jamani?????? Source yako ni nini??? Ama ni wapi??
Kwa hiyo kama wewe kama uoni kwenye taarifa basi hamna ajali? Ulazimishwi kukubali endelea kusubili taarifa ya habari watu wote wanaochangia ni wajinga wewe ndio mjuaji?wwakuu mbona tunaangalia taarifa za habari hamna kitu kama hicho?
Taarifa zimenijia hivi punde kuwa watu 2,000 (hakuna mwenye idadi kamili lakini namba hiyo ndio inayotajwa) wahofiwa kupoteza maisha yao baada ya Meli kuzama ikiwa inaelekea Pemba from Unguja kwenye mkondo wa Nungu.
Sasa wakati janga kama hili linatokea huwa kunakuwa na idadi mbali mbali zinatolewa lakini mimi nimeambiwa namba hiyo na watu wa 5 todauti toka sehemu mbali mbali kuanzia bandarini mpaka waliosindikiza jamaa zao ( ila kama namba kamili ikiletwa na serikali basi tutarekebisha tuu hivyo tunaomba coordination ya members)
Meli ilianza kuzama kiubavu na imechukua muda kuzama.
Inasemakana (from redio) sababu ilikuwa imejaa mizigo na abiria.
Kawaida Unguja meli huwa zinaondoka Gatini zikishapakia na kukaa nje huko karibu na kati ya bahari mpaka muda ndio safari zinaanza
Watu waliokolewa (sijajua na nani) hawafiki 25
watu wengi walikuwa watoto waliokwenda Unguja kula Iddi na walikuwa wanarejea kwani wiki ijayo baadhi ya skuli zafunguliwa
As I write kuna mmoja kati ya mabaharia kasimama juu ya meli ambayo inazama na anasema mawasiliano yanaweza kukatika at anytime kwani naye anaweza kuzama.
Kama ZANTEL au vyombo vya habari na wasiliano wanauwezo wawasiliane na idara za uokozi kama JWTZ ili wapeleke helicopeter zao za kuokoa.
Lakini mtu kama KETAN na wengineo anaweza kutoa helicopter zake atoe wakiokolewa hata watoto 20 si haba ni uhai
Inasemekana kuwa speed boats zingine zinaelekea eneo la tukio
Point of notice: Daftari la idadi ya abiria halipo so haijulikani wangapi wamo mle japo namba ni hiyo 2,000 sasa nadhani kwa mpango huo na kwa namna tunavyo operate Nyumbani nadhani itakuchukua siku kadhaa kujua namba halisi (kama daftari na copy za risiti hazitopotea)
Tunaomba updates coordination toka kwenye websites za:
JWTZ
JESHI LA POLISI
OFISI YA WAZIRI MKUU
OFISI YA USALAM WA TAIFA
WIZARA YA USAFIRISHAJI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI
mwenye habari zaidi tunaomba kama kutakuwa mwenye nafasi aanzishe facebook au social network pages atupe updates. Mwanakijiji hebu wacheki CNN, Invisible akiamka na wenzie watauleta updates zaidi
Kama kuna mwenye updates zingine anaweza kuzipost kwenye FACEBOOK PAGE hii
Zanzibar Ferry Accident - Wall | Facebook
najua haikatulia lakini nadhani anyone can post updates hapo
InshaAllah nitaendelea kuwahabarisha kadri muda unavyozidi kwenda
SlidingRoof, asante kwa updates zako, but it looks true that you are shallow with the number 2000. Don't amplify the number, give us what you exactly know! Again thanks n keep on updates us, i still have trust on you.
wwakuu mbona tunaangalia taarifa za habari hamna kitu kama hicho?
Kwa hiyo kama wewe kama uoni kwenye taarifa basi hamna ajali? Ulazimishwi kukubali endelea kusubili taarifa ya habari watu wote wanaochangia ni wajinga wewe ndio mjuaji?
Miafrica bana
mmh huu utakuwa uzushi bwana mimi nimewahi panda hiyo meli haiwezi kubeba idadi hiyo lasivyo itazama hata kabla haijaondoka
Kweli ule mkondo wa nungwi ni balaa meli iliyokuwa inaweza kuuhimili ni marehemu mv mapinduzi lakini hizi meli za kuungunga tu ndio madhara yake. Mungu atupe subra kwani nami wamo jamaa zangu waliotoka kula skukuu.
sawa mkuu,,, hakuna haja ya kubishana sana kwa sasa,,, kama great thinkers, lets wait kwa hiyo idadi kamili,, tuzidi kuwafariji ndugu zetu walioptwa na msiba huu,,, pole zangu za dhati pia kwa rafiki yako ambaye baba yake na mdogo wake pia walikuwepo kwenye meli hiyoHizo taarifa kama nilivyosema hapo awali ni estimates..inaweza ikawa less au sitoshangaa ikawa more
kwa taarifa yako nimepewa habari baba yake rafiki yangu na mdogo wake wamo kwenye hiyo meli
sasa unaposema habari za kutaka umaarufu mie wa nini kwenye janga kama hili?
Mkuu, Director1, tupo pamoja ndugu ya nimekupata sote tunajenga nyumba mojamkuu unaniandama sana safari hii,kwwa nini??kumbuka usemi wa yule jamaa,tunajenga nyumba moja tusigombee fito