Mei 7, 1919 Vita ya Kwanza Duniani ilituharibia sana, Tanzania tungekuwa mbali sana

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,246
4,467
Mimi sio mtaalamu wa historia, ila kwa historia yangu ndogo niliyopata O-level ninaamini Tanganyika chini ya Ujerumani ingekuwa Taifa kubwa sana hapa Afrika zaidi ya hapa ilipo leo. Waliotuharibia walikuwa Waingereza waliokabidhiwa taifa leo. Hatukupaswa tuwe marafiki na waingereza. They were hopeless.

Nafikiria jinsi Ujerumani ilivyoendelea. Jinsi wajerumani wanavyofanya kazi kwa bidii. Nafikiria infrastructures walizojenga ambazo hadi sasa zinadumu. Hebu fikiria reli zetu. Hivi Tanganyika leo tungekuwa wapi tungeendelea kutawaliwa na waingereza. Naamini wangetunyorosha akili zetu - Tungekuwa mbali sana kifikra, kiuchumi na tusingekuwa wavivu kama sasa. Hofu yangu kubwa ni labda kukosa uwezo wa kumiliki ardhi. Lakini ardhi ya nini wakati mataifa yenye barafu kama Ukraine na Russia bado tunategemea toka kwao Chakula.

Tukumbuke tu kwamba kabla Ujerumani haijanyang'anywa eneo lake lililohusisha Tanganyika tarehe 7 Mei 1919, na kupewa Uingereza, eneo la maziwa makuu tulikuwa chini ya himaya iliyoitwa German East Africa (GEA) lilokuwa ni eneo linalohusisha nchi za sasa za Tanganyika, Burundi, Rwanda, na sehemu ndogo ya Msumbiji huku makao yake yakiwa Bagamoyo (1885–1890) kisha yakahamia Dar es Salaam (1890–1916) na kwa muda mfupi yakaenda Tabora (1916).

Mwingereza alituharibia sana.
 
Kwa nini kulikuwa kuna resistance nyakati za mjerumani kama tungekuwa mbali! Unajua jamii ambazo zilizopoteza ardhi mpaka Leo huko Botswana? Unaweza ukaona kinachoendelea afrika ya kusini, Zimbabwe kuhusu ardhi, hakuna mkoloni mwenye unafuu wote walikuja Kwa ajili ya Mali ghafi na si kukuboreshea maisha.
 
Kwa nini kulikuwa kuna resistance nyakati za mjerumani kama tungekuwa mbali! Unajua jamii ambazo zilizopoteza ardhi mpaka Leo huko Botswana? Unaweza ukaona kinachoendelea afrika ya kusini, Zimbabwe kuhusu ardhi, hakuna mkoloni mwenye unafuu wote walikuja Kwa ajili ya Mali ghafi na si kukuboreshea maisha.
Resistance ilisababishwa na wajerumani kuwafanyishs kazi mababu na Bibi zetu kwa mda mrefu ,na unajua waafrika wengi ni wavivu. Tunapo sema wavivu haina maana hawafanyi kazi kabisa no ! Bali wanafanya kazi kwa mda mfupi na mda mwingine kupiga soga na starehe .

Kingine mpaka leo utaona watu wengi serikalini na hata nje ya serikali ukitaka wafanye kazi vizuri ni mpaka uwasimamie , utofauti wa wazee wetu walichapwa Hadi viboko
 
Resistance ilisababishwa na wajerumani kuwafanyishs kazi mababu na Bibi zetu kwa mda mrefu ,na unajua waafrika wengi ni wavivu. Tunapo sema wavivu haina maana hawafanyi kazi kabisa no ! Bali wanafanya kazi kwa mda mfupi na mda mwingine kupiga soga na starehe .

Kingine mpaka leo utaona watu wengi serikalini na hata nje ya serikali ukitaka wafanye kazi vizuri ni mpaka uwasimamie , utofauti wa wazee wetu walichapwa Hadi viboko
Au sio?
 
Anaongelea kwa mantiki ya ukubwa wa eneo ambalo ndo ingezaliwa tanzania
ingejumlisha rwanda na burundi
 
Mimi sio mtaalamu wa historia, ila kwa historia yangu ndogo niliyopata O-level ninaamini Tanganyika chini ya Ujerumani ingekuwa Taifa kubwa sana hapa Afrika zaidi ya hapa ilipo leo. Waliotuharibia walikuwa Waingereza waliokabidhiwa taifa leo. Hatukupaswa tuwe marafiki na waingereza. They were hopeless.

Nafikiria jinsi Ujerumani ilivyoendelea. Jinsi wajerumani wanavyofanya kazi kwa bidii. Nafikiria infrastructures walizojenga ambazo hadi sasa zinadumu. Hebu fikiria reli zetu. Hivi Tanganyika leo tungekuwa wapi tungeendelea kutawaliwa na waingereza. Naamini wangetunyorosha akili zetu - Tungekuwa mbali sana kifikra, kiuchumi na tusingekuwa wavivu kama sasa. Hofu yangu kubwa ni labda kukosa uwezo wa kumiliki ardhi. Lakini ardhi ya nini wakati mataifa yenye barafu kama Ukraine na Russia bado tunategemea toka kwao Chakula.

Tukumbuke tu kwamba kabla Ujerumani haijanyang'anywa eneo lake lililohusisha Tanganyika tarehe 7 Mei 1919, na kupewa Uingereza, eneo la maziwa makuu tulikuwa chini ya himaya iliyoitwa German East Africa (GEA) lilokuwa ni eneo linalohusisha nchi za sasa za Tanganyika, Burundi, Rwanda, na sehemu ndogo ya Msumbiji huku makao yake yakiwa Bagamoyo (1885–1890) kisha yakahamia Dar es Salaam (1890–1916) na kwa muda mfupi yakaenda Tabora (1916).

Mwingereza alituharibia sana.
Upo tayari kuchapwa uchi mbele ya watoto wako na wajukuu zako?
 
Nani angeweza kutawala nchi kubwa namna hiyo? Hii Tanganyika na Zanzibar tu ina migogoro tele. Sembuse Rwanda na Burundi zikiongezeka.
 
Mimi sio mtaalamu wa historia, ila kwa historia yangu ndogo niliyopata O-level ninaamini Tanganyika chini ya Ujerumani ingekuwa Taifa kubwa sana hapa Afrika zaidi ya hapa ilipo leo. Waliotuharibia walikuwa Waingereza waliokabidhiwa taifa leo. Hatukupaswa tuwe marafiki na waingereza. They were hopeless.

Nafikiria jinsi Ujerumani ilivyoendelea. Jinsi wajerumani wanavyofanya kazi kwa bidii. Nafikiria infrastructures walizojenga ambazo hadi sasa zinadumu. Hebu fikiria reli zetu. Hivi Tanganyika leo tungekuwa wapi tungeendelea kutawaliwa na waingereza. Naamini wangetunyorosha akili zetu - Tungekuwa mbali sana kifikra, kiuchumi na tusingekuwa wavivu kama sasa. Hofu yangu kubwa ni labda kukosa uwezo wa kumiliki ardhi. Lakini ardhi ya nini wakati mataifa yenye barafu kama Ukraine na Russia bado tunategemea toka kwao Chakula.

Tukumbuke tu kwamba kabla Ujerumani haijanyang'anywa eneo lake lililohusisha Tanganyika tarehe 7 Mei 1919, na kupewa Uingereza, eneo la maziwa makuu tulikuwa chini ya himaya iliyoitwa German East Africa (GEA) lilokuwa ni eneo linalohusisha nchi za sasa za Tanganyika, Burundi, Rwanda, na sehemu ndogo ya Msumbiji huku makao yake yakiwa Bagamoyo (1885–1890) kisha yakahamia Dar es Salaam (1890–1916) na kwa muda mfupi yakaenda Tabora (1916).

Mwingereza alituharibia sana.
Rekebisha sentenso yako inayouliza "Hivi tungekuwa wapi waingereza(wajerumani) wangetutawala, wangetunyorosha.
Ni watu wachache sana wansojua kuwa Tanganyika kukabidhiwa mwingereza kulitutia hasara sana, nchi zilizotawaliwa zimechangamka kiakili tofauti na Tanganyika ambayo haikutawaliwa bali Umoja wa Mataifa uliiweka chini ya uangalizi wa Uingereza mpaka hapo itakapo kuwa tayari kujiongoza.
 
Mb

Mbona mateso tunayoyapata chini ya CCM ni zaidi ya yale chini ya mwingereza.
-Unajua madhara ya udhalilishaji utakayo pitia Baba au Mama mbele ya wanao na wajukuu zako ukiwa uchi tena ukichalazwa viboko mbele yao.
-Tofautisha utawala mbovu na udhalilishaji wa mtu mzima mbele ya wanae na wajukuu zake ni zaidi ya utawala mbovu wa CCM.
 
-Unajua madhara ya udhalilishaji utakayo pitia Baba au Mama mbele ya wanao na wajukuu zako ukiwa uchi tena ukichalazwa viboko mbeke yao.
-Tofautisha utawala mbovu na udhalilishaji wa mtu mzima mbele ya wanae na wajukuu zake ni zaidi ya utawala mbovu wa CCM.
Na kumchukua Azori mbele ya mkewe mjamzito kisha kwenda kumuua, na kumlipua kwa bomu mwandishi wa habari katikati ya askari, ipi bora viboko au kifo.
 
Na kumchukua Azori mbele ya mkewe mjamzito kisha kwenda kumuua, na kumlipua kwa bomu mwandishi wa habari katikati ya askari, ipi bora viboko au kifo.
Huyo Azory unayemzungumzia wewe walimuua mbele ya macho ya mkewe na watoto wake ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom