Meditation in your daily routine

Dah...hapa nzi kadumbukia kwenye glasi ya bia.....! Umtoe uendelee kunywa au uimwage....!

Nachoshauri ni kumtoa nzi....na kuendelea kula kinywaji i.e. Mshana jr acha majibishano endelea na mada yako....
 

Asante sana ndugu yangu, karibu sana.
 
Duh,Mafahari mawili yakigombana nyasi ndo zinaumia.Samahani walimu, tunawaomba uzi uendelee ili tuzidi kujifunza.Asante

Shukrani mkuu kwani ni wengi tunaitaji kujifunza.Cha muhimu Nawaomba waalimu wangu kama kuna mambo yametokea tusameheane na kusahau ili tusimpe nafasi shetani kama yupo kutukosesha Ufahamu ambao ni wa muhimu kwa maisha yetu soote.Tafadhalini jamani
 

Bro npe faida zake pls
 

Mhhh ww bila shaka ni mwanamke....maneno kama haya hayawezi kumtoka mwanaume....
 
Last edited by a moderator:

Yah...aya ndiyo maneno ya mwanaume wa kweli....
 
Last edited by a moderator:
eo ni siku ya kimataifa ya Yoga , Meditation au Tahajudi.

Siku hii imeadhimishwa kwa mazoezi ya Yoga kwenye fukwe za bahari ya Hindi eneo la Coco Beach ambapo mgeni rasmi ni Waziri wa Habari, Vijana , Sanaa na Utamaduni, Mhe. Nape Mnauye na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Darisalama, Paul Makonda.

Kwa wasio jua kuhusu Yoga, meditation au tahajudi karibuni pande hizi.
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...
Mafunzo ya Meditation Bure. Ni Kupitia Brahima Kumaris Meditation ...
Ni Leo Jioni Pale ...."Karibuni Njooni Tumediteti!" | JamiiForums ..
"Will Powers!", "Faith Healing!"-NgMiujiza Ya Uponyaji kwa Imani ...
Jifunze: Namna ya kufanya TAHAJUDI (Meditation)... | JamiiForums ...

Meditation (Tahajudi a.k.a Tafakuri Kina) | JamiiForums | The Home ...
Mwanzo wa meditation | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Je unataka kuishi maisha ya amani na utulivu? Fanya hivi ...
Meditation in your daily routine | JamiiForums | The Home of Great ...
Ushuhuda wa ukweli kuhusu meditation | JamiiForums | The Home of ..
Your Brain on Meditation | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Sitaki tena kupaa angani | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Jinsi Ya Kupanga Na Kupangua Ubongo Ili Kutimiza Ndoto (Hypnosis ...
Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way ...
Kwanini tunanaongelea sana watu tufanye meditation? | Page 2 ...
Washa Na Kuzima taa au mshumaa kwa nguvu ya fikra | P
Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)
Faida Za Kimwili (Afya) Na Kiroho (Imani) Za Kufunga |

Kwanini tunanaongelea sana watu tufanye meditation?
Mawasiliano ya kiroho katika milango nane ya fahamu
Ni wakati wa kujitambua (Jua ulikotoka)
Kuna siri gani kwenye ulimwengu wa kiroho ukilala chali? | Page 7 ...


Mwana jf Mtambuzi ni mwana tahahajudi mkuu humu jukwaani. Wengine ni kina
mshana jr, MziziMkavu, Rakims na wengine wengi.

Karibuni tutafakari.

Pasco
 
Thanks Pasco for the needful
1. Kwa kukusanya mada zote za tahajudi na kuziweka pamoja
2. Pili kwa kutualika katika siku hii muhimu
Nasikitika sitaweza kuhudhuria niko nje ya Dar lakini usikose kutupa uptodates zozote... ! Thanks in advance
 
Dah...hapa nzi kadumbukia kwenye glasi ya bia.....! Umtoe uendelee kunywa au uimwage....!

Nachoshauri ni kumtoa nzi....na kuendelea kula kinywaji i.e. Mshana jr acha majibishano endelea na mada yako....
Duu huu uzi umenikumbusha mbali sana...! Mada nzuri ilikuja kuharibika kabisa na kuwa uwanja wa mipasho na majigambo
We have much to learn in this life
 
Ubarikiwe sana Pasco
 
Meditator uwezi kucontrol temper yaan ww ni disqualified kbs sasa utamfundisha nn beginner khs faida ya meditation... You are reacting rather than acting
 
Vyema sana mkuu nitaitembelea hiyo link kwa utambuzi zaidi
 
Mara nyingi Meditation niifanyayo ni ile ya wakati wa kulala na uwa hivi:-
1.Nahakiksha sina kilevi chochote.

2.Naondoa mawazo yote hasa ya kifamilia, kazi,marafiki na aina yoyote ya usumbufu/furaha.
3.Najiuliza hasa mimi ni nani na nipo kwa ajiri ya Nini alafu ili iweje.
4.Nini nilichofanya kuanzia kulipopambszuka mpaka kiza kilipoingia.
5.Nini cha kufanya siku inayofuata na kwa nini nifanye alafu ili iweje.
Baada ya Kama nusu saa au saa nzima:-
1.Ni nani nimemkwaza na kwanini nilifanya/ilitokea vile na nini kilifanyika baada ya hapo.
2.Wapi nilipata furaha/faraja na Nini hasa kilisababisha na kwanini alafu ili iweje.
3.Nini matarajio yangu kwa familia na taifa.
4.Kwanini nahitajika/sihitajiki (Nini Umuhimu/Hasara) kwa binadamu wenzangu.
Baada hapo ni Kulala kunakoambatana na Sala/dua.
Meditation ya namna hii ni usaidia sana kujisahihisha/kuzidisha juhudi na kuongeza Itabidi Mahala pake Kazi pia uongeza marafiki/networks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…