Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,285
- Thread starter
- #81
Leo hao Morocco utawakataa mapema tu. World cup haihitaji janjajanja. Inatakiwa mpira uwe unaujua kweli.Vivyo hivyo ndani ya dk 90 hakuna mwenyewe. Kupaki basi pia ni mbinu ndio hao hispania wakashindwa kupenya mpaka wakaenda kwenye matuta.