Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,284
Baada ya kuziangalia timu zote kwenye mechi zilizowapeleka robo fainali, imekuwa dhahiri kwangu kwamba fainali itakuwa kati ya timu hizo.
Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali
Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.
Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.
Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.
Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.
Brazil anaweza kumtoa Croatia ingawa sitarajii iwe hivyo. Argentina atamtoa Uholanzi kisha ataenda na kumtoa Brazil/Croatia kwenye nusu fainali
Ureno atamtoa Morocco kirahisi kuliko inavyodhaniwa. Ufaransa atamtoa uingereza halafu ataenda kumtoa ureno kwenye nusu fainali.
Hapa naongelea kiufundi zaidi baada ya kuziona hizi timu kwa kuzingatia ubora pamoja na madhaifu yao.
Ile mechi ya mtoano wa 16 bora pale urusi mwaka 2018 inaenda kujirudia kwenye fainali ya mwaka huu pale Qatar. France vs Argentina.
Sitegemei kama Argentina atakubali kufungwa mara ya pili. Ngojea tusubirie muda utatujibu.