auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,294
you can't be both, player and judge. uongo kwa mujibu wa nani? ndugu huwezi kuelewa mambo ya Mungu kwa kuyatafakari au kuyajifunza kwa akili za kibinadamu. huo uwezo binadamu hana. ni kwa nguvu za Mungu mwenyewe waweza kuelewa mambo ya Mungu. yaani unahitaji kubomoa boksi ulilojifungia uanze kuangalia mambo freely ili uweze kuona mwanga Zaidi.Ngumu kuelewa? Ni kwa sababu ni uongo!
