Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Wamebisha nini?Kuna watu ni wabishi wa asili..
Wamebisha nini?Kuna watu ni wabishi wa asili..
Nasoma posti ya mtoa mada tu. Nikiona amekosea namsahihisha hapohapo, sina haja ya kusubiri mtu mwingine amsahihishe. Kusubiri watu wengine kukufanyia kazi yako ni jangaHiyo imeshasahihishwa. Uwe unasoma post za wenzio....
Sasa wenzio wameshamsahihisha. Au wewe ndio wajiona bora?Nasoma posti ya mtoa mada tu. Nikiona amekosea namsahihisha hapohapo, sina haja ya kusubiri mtu mwingine amsahihishe. Kusubiri watu wengine kukufanyia kazi yako ni janga
shida yako nini? nimekuambia nasahihisha vile ninavyoona na kuamini ni ukweli, full stop. Unawashwa washwa au...?Sasa wenzio wameshamsahihisha. Au wewe ndio wajiona bora?
Ukijaaliwa kwenda hijja (kama inakuhusu) utapata elimu kubwa zaidi.Tupeane elimu juu ya mji huu kwa wale wenye elimu...natamani kujua ndani ya kaabah kuna nn?
Sasa ulikuwa unamaanisha nini kusema kwenye Biblia kuna ubakaji mwingi.By the way sijawahi ona kuruhusiwa kwa ubakaji kwenye Qur'an pia.Na mimi nataka taarifa kutoka kwako. Ni wapi ubakaji umekubaliwa?
Ndio nilitaka uwafundishe hao wanaong'ang'ania kuwa kwenye Quran ubakaji umeruhusiwa. Wafundishe waelewe kama ambavyo mimi nimekuelewa!Sasa ulikuwa unamaanisha nini kusema kwenye Biblia kuna ubakaji mwingi.By the way sijawahi ona kuruhusiwa kwa ubakaji kwenye Qur'an pia.
kama ndio mji bora wa dunia, si mbaki nao ili muiache Jerusalem kwa wenye nao?hamridhiki mnataka kila mji uwe wenu.Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
Jerusalem ni mji wa watu wa Mecca?kama ndio mji bora wa dunia, si mbaki nao ili muiache Jerusalem kwa wenye nao?hamridhiki mnataka kila mji uwe wenu.
Ukijaaliwa kwenda hijja (kama inakuhusu) utapata elimu kubwa zaidi.
utaona jinsi waamin wanavyo mpiga mawe shetani huku wamevaa vipande vya viwili vya vitambaa (ihram) kimoja juu kingine chini bila chupi
hapa ni baada ya kumpiga shetani
wajuzi mtatupa ilimu kuhusu mu'tah zile ndoa za muda wakt wa hija, na lile jiwe hajarwal...
Unachokiandika wala hukijui. Huu uzi utafungwa maana umwkuja mzee wa matusi.inshaallahutaona jinsi waamin wanavyo mpiga mawe shetani huku wamevaa vipande vya viwili vya vitambaa (ihram) kimoja juu kingine chini bila chupi
![]()
hapa ni baada ya kumpiga shetani
wengine hawakurudi makwao![]()
![]()
wajuzi mtatupa ilimu kuhusu mu'tah zile ndoa za muda wakt wa hija, na lile jiwe hajarwal...
![]()
Kanisani hamumpigi shetani!inshaallahutaona jinsi waamin wanavyo mpiga mawe shetani huku wamevaa vipande vya viwili vya vitambaa (ihram) kimoja juu kingine chini bila chupi
![]()
hapa ni baada ya kumpiga shetani
wengine hawakurudi makwao![]()
![]()
wajuzi mtatupa ilimu kuhusu mu'tah zile ndoa za muda wakt wa hija, na lile jiwe hajarwal...
![]()
Kabla ya kuzungumzia Quran biblia imesema mbinguni utapewa mara 100 kile ulichokuwanacho duniani. Ina maana kama ulliacha mashamba heka mia utapata mara mia zaidi na kama ulikuwa na mke mmoja duniani mbinguni utapewa mara 100 yaani wanawake 100. Kuzungumzia bikira 72 ni ushamba maana biblia inaahidi wake 100. Nini wake 72 bhana....
Anzia hapo kujifunza.
Kwa hiyo biblia inapingana?Matthew 22:30 At the resurrection they will neither marry nor be given in marriage; they will be like the angels in heaven.
Hakuna mji katika historia ya binadamu umewahi kupewa heshima kuzidi mji wa Makkah hakuna.