Mecca ndio mji bora duniani

Mecca ndio mji bora duniani

Hiyo imeshasahihishwa. Uwe unasoma post za wenzio....
Nasoma posti ya mtoa mada tu. Nikiona amekosea namsahihisha hapohapo, sina haja ya kusubiri mtu mwingine amsahihishe. Kusubiri watu wengine kukufanyia kazi yako ni janga
 
Nasoma posti ya mtoa mada tu. Nikiona amekosea namsahihisha hapohapo, sina haja ya kusubiri mtu mwingine amsahihishe. Kusubiri watu wengine kukufanyia kazi yako ni janga
Sasa wenzio wameshamsahihisha. Au wewe ndio wajiona bora?
 
Kila Kila mahali ni katikati ta Dunia ndugu ...fikiria kwa makini tuu utanielewa.
 
Na mimi nataka taarifa kutoka kwako. Ni wapi ubakaji umekubaliwa?
Sasa ulikuwa unamaanisha nini kusema kwenye Biblia kuna ubakaji mwingi.By the way sijawahi ona kuruhusiwa kwa ubakaji kwenye Qur'an pia.
 
Sasa ulikuwa unamaanisha nini kusema kwenye Biblia kuna ubakaji mwingi.By the way sijawahi ona kuruhusiwa kwa ubakaji kwenye Qur'an pia.
Ndio nilitaka uwafundishe hao wanaong'ang'ania kuwa kwenye Quran ubakaji umeruhusiwa. Wafundishe waelewe kama ambavyo mimi nimekuelewa!
 
Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
kama ndio mji bora wa dunia, si mbaki nao ili muiache Jerusalem kwa wenye nao?hamridhiki mnataka kila mji uwe wenu.
 
Ukijaaliwa kwenda hijja (kama inakuhusu) utapata elimu kubwa zaidi.

inshaallah utaona jinsi waamin wanavyo mpiga mawe shetani huku wamevaa vipande vya viwili vya vitambaa (ihram) kimoja juu kingine chini bila chupi
d25d1453087b893aa147f0b8c869dffe.jpg
hapa ni baada ya kumpiga shetani
b266c270aa8e0d057ccff526a2907765.jpg
wengine hawakurudi makwao wajuzi mtatupa ilimu kuhusu mu'tah zile ndoa za muda wakt wa hija, na lile jiwe hajarwal...
 
  • Thanks
Reactions: PNC
inshaallah utaona jinsi waamin wanavyo mpiga mawe shetani huku wamevaa vipande vya viwili vya vitambaa (ihram) kimoja juu kingine chini bila chupi
d25d1453087b893aa147f0b8c869dffe.jpg
hapa ni baada ya kumpiga shetani
b266c270aa8e0d057ccff526a2907765.jpg
wengine hawakurudi makwao wajuzi mtatupa ilimu kuhusu mu'tah zile ndoa za muda wakt wa hija, na lile jiwe hajarwal...
Unachokiandika wala hukijui. Huu uzi utafungwa maana umwkuja mzee wa matusi.
 
inshaallah utaona jinsi waamin wanavyo mpiga mawe shetani huku wamevaa vipande vya viwili vya vitambaa (ihram) kimoja juu kingine chini bila chupi
d25d1453087b893aa147f0b8c869dffe.jpg
hapa ni baada ya kumpiga shetani
b266c270aa8e0d057ccff526a2907765.jpg
wengine hawakurudi makwao wajuzi mtatupa ilimu kuhusu mu'tah zile ndoa za muda wakt wa hija, na lile jiwe hajarwal...
Kanisani hamumpigi shetani!
 
Kabla ya kuzungumzia Quran biblia imesema mbinguni utapewa mara 100 kile ulichokuwanacho duniani. Ina maana kama ulliacha mashamba heka mia utapata mara mia zaidi na kama ulikuwa na mke mmoja duniani mbinguni utapewa mara 100 yaani wanawake 100. Kuzungumzia bikira 72 ni ushamba maana biblia inaahidi wake 100. Nini wake 72 bhana....
Anzia hapo kujifunza.

Matthew 22:30 At the resurrection they will neither marry nor be given in marriage; they will be like the angels in heaven.
 
Back
Top Bottom