Me sijui huwa nina balaa gani ndugu zangu!!

Heshima mbele wakuu!!ebana,me cjui nina gundu gani,yan kila mmanzi nilye wahi kuwa na uhusiano nae lazima anakua amelelewa na mzazi mmoja,wengi wao huwa wamelelewa na mzazi wa kike..ivi kuna madhara yoyote kuwa na let say wife ambae kapata malezi ya mama tu?over

mi nahisi smile kalelewa na wazaz wake wote wawili ndo maana alikuwekea ngumu
 
wala huna gundu mkuu
wapo wengi waliolelewa hivyo hawana shida
wanatabia/malezi mazuri
 
Acha uchewele! Mke achaguliwi kama nazi,ukifanya hayo utapata dafu.mapungufu yanamipaka na ni kuchukuliana tu!
 
Kuna ukweli ndani yake ila ni kwa baadhi ya makabala huwa wanasumbua sana.
 
Una gundu mkuu,kaoge pale feri katika ya lile bomba la mavi linalotoka muhimbili. Au sokoni feri kwenye yale maji ya shombo hapo gundu litaisha mwana.
 
independent, hawachelewi kukubwaga ukiwazingua! (most of'em)
 
Wanawake wa aina hiyo mara nyingi huegemea sana kwa mama zao (hasa kama mama yake aliachika). Ukisema jambo hadi afuate ushauri kwa mama kwanza. Ndugu yangu angalia sana, kama hana akili akaegemea hivyo na huyo mama akawa mcharuko ujue umekwisha.

Hayo ni mawazo yako tu mafupi kwani wote wanoachika kwenye ndoa wanakuwa wamelelewa na mzazi mmoja, mbona wanadamu mnapenda kukufuru unazani wote wanaolelewa na mzazi mmoja walipenda?
 
Hayo ni mawazo yako tu mafupi kwani wote wanoachika kwenye ndoa wanakuwa wamelelewa na mzazi mmoja, mbona wanadamu mnapenda kukufuru unazani wote wanaolelewa na mzazi mmoja walipenda?

We waache tu watukane mamba ilhali bado hawajavuka mto!!
 
Malezi mazuri au mabaya ya mtoto hayategemei kama amelelewa na mama/baba pekee. Wapo waliolelewa na baba na mama na bado hawana maadili.

Na kama utakwenda mbalizaidi, inawezekana huyu aliyelelewa na mama tu akawa na maadili mazuri sana kwani kwa malezi ya siku hizi ambapo baba na mama hawakubaliani: mama akimgomba mtoto baba anamgomba mama, baba akiamua hili mama ana anaamua lile n.k., mwisho unakutia watoto hawana heshima kisa baba na mama hawakubaliani katika malezi.

Kwa hiyo ikiwa mama ni mwenye maadili, amri inakuwa moja tu -yake- na mtoto hukua katika malezi ya nidhamu.
 
shukuru ni wakike,angekuwa wakiume si angeisha mlamba maana wazazi wa kizazi hiki noma
 
Wanawake tuna tabia ya ku-cross check mara nyingi especially kama hatujawahi kuamua hicho kitu tajwa. Kuna wanaoshirikisha wadogo zao, kaka, aunt au rafiki wa karibu, sio lazima mama. Muhimu ni kwa mwanaume ku-win trust ya mwenza wako ili ukimshauri kitu asihitaji sana ku-cross check upya. Hii itakuja kwa ww ku-prove huwa unafanya maamuzi ya maana.
Wanawake wa aina hiyo mara nyingi huegemea sana kwa mama zao (hasa kama mama yake aliachika). Ukisema jambo hadi afuate ushauri kwa mama kwanza. Ndugu yangu angalia sana, kama hana akili akaegemea hivyo na huyo mama akawa mcharuko ujue umekwisha.
 
Chuo anachosoma ndio kinamatatizo ........Ni kilaza w UDSM.

we mpuuzi nini,nikosoe mimi ka mimi,usiingize mambo ya vyuo humu,kama ulishndwa kufika ni wewe na undezi wako.
 
Senator care to mention ni wangapi?

nimewah kuwa nao 6 katika vipindi tofaut,na tulikua tunaachana kwa ishu ambazo znasovika,yani wao,kitu kidogo mkitofautiana,anakuambia,we better break.ndo nkahis labda kuna kitu huwa hakijakaa sawa katka malezi yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom