ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

ME na KE njooni kwenye kikao cha Dharula hapa

The silent smile

Senior Member
Joined
Jul 17, 2025
Posts
124
Reaction score
206
Salam kwenu Wajumbe,

Agenda kubwa ni SHKAMOO!

Sote twajua kuwa linapokuja suala MAHUSIANO (MAPENZI) hasa pale unapoona kuna jimbo umelielewa huaga umri hautuzuii kutimiza malengo yetu (wanasema umri ni namba tu😄)

Inatokea ME kuna ka KE ka elfu 2 umekaelewa mtaani kwako au popote pale, ile ushapanga mashambulizi yako ya mawindo na hesabu zishakamilika (kama simba mwituni), ile unataka ku attack, unakutana na shambulizi la kushtukiza SHKAMOO KAKA, SHKAMOO BABA FULANI, ANKO SHKAMOO n.k. (Hii huwa inakata sana)

AU
Inatokea KE, kuna ME umevutiwa naye, huenda umemzidi umri kidogo hata 5 yrs, ila ndo keshakuvutia sasa😄, sasa wakati unaweka mipango vyema ya mawindo (japo wanawake wachache sana wanaomchana mwanaume live (tongoza)) yaan kuna yale mawindo yako ya akili mingi kumvuta na kumfanya awe karibu nawe na ajikute tuu keshaingia kwenye target, ila sasa kabla hujakamilisha shambulio lako anakupiga na kitu kizito SISTER SHKAMOO / SHKAMOO MAMA AKE FULANI (Single mother), ANTI SHKAMOO. n.k

Je, kwa Shambulio hili unatumia mbinu gani ku recover na kutimiza lengo lako?
 
Inaonekana wewe ni mtu mzima nakuakadilia kati ya miaka 30 hadi 40, mbona unaanzisha uzi wa kitoto sana? Kama wewe ni mwanaume(sponsor\danga\fataki) acha kutuharibia dada na wadogo zetu wa shule na chuo waache wasome, na kama wewe ni mwanamke(mshangazi) acha kuwasumbua vijana waache wafanye kazi walipe kodi wajenge taifa. Kung'ang'ania tu vijana wadogo si utafute wa umri wako. Upuuzi tu!
 
Salam kwenu Wajumbe,

Agenda kubwa ni SHKAMOO!

Sote twajua kuwa linapokuja suala MAHUSIANO (MAPENZI) hasa pale unapoona kuna jimbo umelielewa huaga umri hautuzuii kutimiza malengo yetu (wanasema umri ni namba tu😄)

Inatokea ME kuna ka KE ka elfu 2 umekaelewa mtaani kwako au popote pale, ile ushapanga mashambulizi yako ya mawindo na hesabu zishakamilika (kama simba mwituni), ile unataka ku attack, unakutana na shambulizi la kushtukiza SHKAMOO KAKA, SHKAMOO BABA FULANI, ANKO SHKAMOO n.k. (Hii huwa inakata sana)

AU
Inatokea KE, kuna ME umevutiwa naye, huenda umemzidi umri kidogo hata 5 yrs, ila ndo keshakuvutia sasa😄, sasa wakati unaweka mipango vyema ya mawindo (japo wanawake wachache sana wanaomchana mwanaume live (tongoza)) yaan kuna yale mawindo yako ya akili mingi kumvuta na kumfanya awe karibu nawe na ajikute tuu keshaingia kwenye target, ila sasa kabla hujakamilisha shambulio lako anakupiga na kitu kizito SISTER SHKAMOO / SHKAMOO MAMA AKE FULANI (Single mother), ANTI SHKAMOO. n.k

Je, kwa Shambulio hili unatumia mbinu gani ku recover na kutimiza lengo lako?
Hivi Tundu Lissu anajua kwamba wananchi anaowapambania wana vipaumbele vya kisen ge namna hii ?
 
Kwa sisi wanaume hiyo ni hasara kubwa sana, ila kwa wanawake hawanaga maamuzi sahihi, kunakipindi furani nilikuaga nafanya biashara, kunamdada alikuwa anafika kila siku anajirambaramba bei ishuke, nikajua amenielewa nikamshika makalio, aiseee nilipokea makofi siyo ya umri wangu kama siyo uwepo wa zahanati kalibu nilikua nakata moto hiyo siku kwa kizungu zungu.
 
Inaonekana wewe ni mtu mzima nakuakadilia kati ya miaka 30 hadi 40, mbona unaanzisha uzi wa kitoto sana? Kama wewe ni mwanaume(sponsor\danga\fataki) acha kutuharibia dada na wadogo zetu wa shule na chuo waache wasome, na kama wewe ni mwanamke(mshangazi) acha kuwasumbua vijana waache wafanye kazi walipe kodi wajenge taifa. Kung'ang'ania tu vijana wadogo si utafute wa umri wako. Upuuzi tu!
Sawa dada
 
Inaonekana wewe ni mtu mzima nakuakadilia kati ya miaka 30 hadi 40, mbona unaanzisha uzi wa kitoto sana? Kama wewe ni mwanaume(sponsor\danga\fataki) acha kutuharibia dada na wadogo zetu wa shule na chuo waache wasome, na kama wewe ni mwanamke(mshangazi) acha kuwasumbua vijana waache wafanye kazi walipe kodi wajenge taifa. Kung'ang'ania tu vijana wadogo si utafute wa umri wako. Upuuzi tu!
Sema dada angu umekuja na makasiriko sana, hakuna mtoto anayetumia mitandao ya kijamii, humu wote n watu wazima 18+, Sasa kam wewe n mwalimu wa nidhamu endelea tuu kusahhsha madaftari😄.
 
Kwa sisi wanaume hiyo ni hasara kubwa sana, ila kwa wanawake hawanaga maamuzi sahihi, kunakipindi furani nilikuaga nafanya biashara, kunamdada alikuwa anafika kila siku anajirambaramba bei ishuke, nikajua amenielewa nikamshika makalio, aiseee nilipokea makofi siyo ya umri wangu kama siyo uwepo wa zahanati kalibu nilikua nakata moto hiyo siku kwa kizungu zungu.
Dahh, pole sn, itakuwa ulijichanganya au huenda ali act lkn alikuelewa kweli🤣
 
Back
Top Bottom