Mdogo wangu kapigwa juju

Mdogo wangu kapigwa juju

Acha ushirikina. Kwa Mungu ni bure. Mganga hatoi ila anapooza. Hao baba yao mmoja. Nguvu katoa wapi?
Maombi kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazaret ni buure.
Usiongeze maagano mengine na kuzimu
Mkuu soma vizuri post yangu usikurupe kunijumuisha katika imani yako ambayo mimi siiamini.
 
Wazungu wanaita Multiple Personality Disorder,sijui tiba yake nini ,labda ufanye research
Kwa wazungu uwa wanamtreat mgonjwa hata kwa miaka kumi wakimjenga kisaikolojia mpaka anakaa sawa. Hawaamini kuwa ni majini bali ni personality inayozaliwa ndani ya mtu sababu ya jambo fulani.
 
Ni Dada yangu wa mwisho ktk familia ya wanaume 7 wasichana wawili.

Alikuwaga mzima na mwaka huu alitegemewa kuwa form ii ila kuna watu wabaya wamemtupia vitu vya ajabu kiasi kwamba huwa anapandisha na akipandisha anasema shule hataki.

Sasa hivi yuko nyumbani tu na akipandisha huwa ni mateso makubwa kwake. Tumejitahid kumpeka hospitali,Kwa waganga,kanisani ila hakuna nafuu yeyote hatujui tufanye nn kwa kwel.

Kwa wenye exprience na haya mambo ushauri tafadhalini.
Ana muda gani tangu apate hilo tatizo?
 
Yeah,pengine binti alikuwa traumatized akiwa mdogo,kuna vitu vinakuwa triggered ambavyo vinapelekea mtu anakuwa na multiple personality disorder,wanavyoamini wao ni tatizo la kisakolojia
 
amin katika yy ndie muweza wa yote.hakuna jambo gumu kwake..MUNGU..japo mtaombewa nanyi msichoke kufunga na kuomba kwa ajili ya dada enu.....
 
Dah...Kabla hajaanza kupandisha na kuanza kusema hataki shule maendeleo yake huko nyuma shuleni yalikuwaje? Alikuwa anataka kuwa nani maishani mwake? Mna biashara kubwa au mali nyingi ya kifamilia yenu? Ana boyfriend? Je nyie kaka zake mna familia? dada yake pekee ana familia? Baba na mama wanamtreat vipi binti yao wa mwisho????? Angalia isije kuwa anawapiga change la macho tuu😉

cc Prof mshana jr
Ndo maana na mi nimemuuliza ana muda gani tangu apate tatizo hill, maana mabint hawa hata sie yalitukuta hayo mtoto wa kaka yangu hataki shule et ana majin wazazi walipoteza pesa mwisho wa siku kumbe Bint mjamzito.
 
Huyu dogo alikuwaga mcheshi sana ...lakin taratibu akawa anakuwa mpole kidogo kidogo isivyo kawaida yake .,..Alikuwa anasoma Singda vijijin huko fm I, Kwakuwa shule ilikuwa mbali sana tukaamua kumpatia uhamisho kwenda Sumbawanga ambapo kaka yake anafundisha sec huko....Siku ya kwanza kwenda shule alizimia njian ikabid kaka yake akaitwe maana anafahamika sana kijijin pale,Walimchukua wakampeleka hospital ya wilaya wakamwambia ana typhoid NA malaria hivyo wakampatia dawa NA wakamruhusu kwenda home...

Alivyorudi wakamuhoj ilikuwaje akazimia akasema kuna watu wawili watu wazima kidgo alikutana nao wakat anaenda shule alipowasalimia tu ndio akazimia......Mwanzo ilikuwa yakija hayo madude anazima tu bila kusema chochte lakin baadae ikawa mtiti mbilinge ikabid wawe wanamfunga kamba maana yakianza anakuwa NA nguvu mno,....Wakamrudisha tena nyumban kijijin ambapo siku moja alipandsha yakaanza kuongea kwamba hayatak shule .....Bas ndio hivyo mpaka sasa yuko hivyo tu japo kuna wakat anapokuwa hajapandsha anajielewa ila upole umezid......Mambo ya wavulana hana kwakweli
Poleni sana
 
Huyu dogo alikuwaga mcheshi sana ...lakin taratibu akawa anakuwa mpole kidogo kidogo isivyo kawaida yake .,..Alikuwa anasoma Singda vijijin huko fm I, Kwakuwa shule ilikuwa mbali sana tukaamua kumpatia uhamisho kwenda Sumbawanga ambapo kaka yake anafundisha sec huko....Siku ya kwanza kwenda shule alizimia njian ikabid kaka yake akaitwe maana anafahamika sana kijijin pale,Walimchukua wakampeleka hospital ya wilaya wakamwambia ana typhoid NA malaria hivyo wakampatia dawa NA wakamruhusu kwenda home...

Alivyorudi wakamuhoj ilikuwaje akazimia akasema kuna watu wawili watu wazima kidgo alikutana nao wakat anaenda shule alipowasalimia tu ndio akazimia......Mwanzo ilikuwa yakija hayo madude anazima tu bila kusema chochte lakin baadae ikawa mtiti mbilinge ikabid wawe wanamfunga kamba maana yakianza anakuwa NA nguvu mno,....Wakamrudisha tena nyumban kijijin ambapo siku moja alipandsha yakaanza kuongea kwamba hayatak shule .....Bas ndio hivyo mpaka sasa yuko hivyo tu japo kuna wakat anapokuwa hajapandsha anajielewa ila upole umezid......Mambo ya wavulana hana kwakweli
mkuu pole.Hiyo inaitwa task force iliyotumwa kuharibu maisha ya binti ikiwezekana na familia shetani hana jema.Huyo ni maombi tu kiboko yao.Maana maombi na hayo makitu ni nguvu mbili tofauti lakini kwa waganga mhhhhhh danganya toto.jiongeze.
 
Kwa wazungu uwa wanamtreat mgonjwa hata kwa miaka kumi wakimjenga kisaikolojia mpaka anakaa sawa. Hawaamini kuwa ni majini bali ni personality inayozaliwa ndani ya mtu sababu ya jambo fulani.
subiri miaka kumi wakati Mungu aliekuumba anaweza kwa dakika ukiamini.
 
Huyu dogo alikuwaga mcheshi sana ...lakin taratibu akawa anakuwa mpole kidogo kidogo isivyo kawaida yake .,..Alikuwa anasoma Singda vijijin huko fm I, Kwakuwa shule ilikuwa mbali sana tukaamua kumpatia uhamisho kwenda Sumbawanga ambapo kaka yake anafundisha sec huko....Siku ya kwanza kwenda shule alizimia njian ikabid kaka yake akaitwe maana anafahamika sana kijijin pale,Walimchukua wakampeleka hospital ya wilaya wakamwambia ana typhoid NA malaria hivyo wakampatia dawa NA wakamruhusu kwenda home...

Alivyorudi wakamuhoj ilikuwaje akazimia akasema kuna watu wawili watu wazima kidgo alikutana nao wakat anaenda shule alipowasalimia tu ndio akazimia......Mwanzo ilikuwa yakija hayo madude anazima tu bila kusema chochte lakin baadae ikawa mtiti mbilinge ikabid wawe wanamfunga kamba maana yakianza anakuwa NA nguvu mno,....Wakamrudisha tena nyumban kijijin ambapo siku moja alipandsha yakaanza kuongea kwamba hayatak shule .....Bas ndio hivyo mpaka sasa yuko hivyo tu japo kuna wakat anapokuwa hajapandsha anajielewa ila upole umezid......Mambo ya wavulana hana kwakweli
Mkuu nimefuatilia vizuri mada yako, kwanza kabisa napenda kuwapa pole, najua jinsi gani hayo magonjwa yanavyosumbua familia!

Mdogo wako anatatizo la ugonjwa wa akili, magonjwa ya akili yapo mengi na yanatibika vizuri hospitalini kwa wataalam wa magonjwa ya akili

Kwa kufuatilia tu ulichokieleza kuhusu Mdogo wako anadalili kama zifuatazo nitaandika kitaalamu ( second person auditory hallucination commanding in nature, aggressive behaviour and decreased interest in activities(anhedonia)..) Hizi zinaweza zikawa dalali za ugonjwa wa akili unaitwa schizophrenia, akienda kwa mtaalamu wa magonjwa ya akili atagundua dalili nyingine nyingi zaidi akimsikiliza


Wagonjwa kama hawa wanasaidiwa vizuri na Mara nyingi hurudi kwenye halo yao ya kawaida kama wakizingatia dawa na ushauri wa wataalamu


Ushauri wangu:-

Mpelekeni kwenye hospital yenye kitengo cha magonjwa ya akili (psychiatry), kwa dar es salaam nenda pale muhimbili.

(By mwanafunzi wa udaktari)
 
Kama hataki shuke labda anataka kuolewa....mtafutieni mume muone
Acha ufala !!! Mmeng'angania kuolewa kuolewa njoo bas nikuoe ww ....Kwan kama anataka kuolewa si tungejua maana hiv vitu huwez jifanyisha....binti wa miaka 16 akipandisha ww me wa Dar huwez mzuia labda muwe 5....ila sisi wa kijijin wa2 tu tunatosha kumdhibiti kwakuwa tunatukula vyakula natural...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom