Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,575
- 12,368
Uswahilini tabu kweli
Ngoja Gwajima akusikie lazima akutupie jini.Hivi makanisa ya kiroho ndo yepi hayo..??
Michanganyooo michanganyooo Bwana Yesu amekataa.mara Kwa mganga., mara kanisani iman yenu ipo wap
Tuanzie hapo!Hivi makanisa ya kiroho ndo yepi hayo..??
Dogo yupo Singda mm nipo zenjiMkuu poleni sana mnaishi wapi
Ndio nn hii MPD mkuu....nipe details kidgoWazungu wanaita Multiple Personality Disorder,sijui tiba yake nini ,labda ufanye research
Ulijuaje kama tulianza kuwategemea hao waganga NA si watu wengine?tatizO MLIANZA KUTEGEMEA WAGANGA MUDA MREFU! MKATENGENEZA NJIA YA KULOGWA!
Yule muhuni tu mchumia tumbo hayo majini yatamrudia yeye..Ngoja Gwajima akusikie lazima akutupie jini.
Na sisi tunaye wa sampuli hiyo japo siyo kigezo cha kumlinganisha wa Mtoa madaMmejuaje kwamba amepigwa juju na sio kwamba hataki shule ili akawe mbongo movie?
Alikuwaga mzima na mwaka huu alitegemewa kuwa form ii ila kuna watu wabaya wamemtupia vitu vya ajabu kiasi kwamba huwa anapandisha na akipandisha anasema shule hataki..
Omba Mungu yasikukute ndugu.....Usifikir wanaoenda kwa Dr Mwaka hawana akili ni shida tu .mara Kwa mganga., mara kanisani iman yenu ipo wap
Mwambie na gharama zakePiga 0757888777 kwa mtumishi hilary mweleze tatizo atafanyiwa maombi na hilo tatizo litaisha leo.
Nimemtumia pia hii text yako.
Tupo Dar
Du pole kaka kwa elimu ndogo ya maswala kiasili au kiutamaduni ni hiviii baaz ya wanawake na wasichana but hutegemea na mila na desturi za jamii husika hutakiwa kujistiri namaanisha tupu zao Kiiman na katka ulimwengu wa kiroho hao huwa ni wachafu hivyo bas huwa wanaingiliwa na majini wabaya kwa nia mbaya solution mkuu kama muislam mtafute shehe awasomee kisomo waondoke kama mkristo ndio muende ktk imani hyo kwa maombezi kama ww ni mwenzangu na mimi mtafute mganga mtaalamu avitoe ivo viumbe nakuambia sababu mimi mwenyew ni muhanga wa matatizo hayo nina wadogo zangu wawil wakike kama nduguyo ni mambo hayo ni kuzimia na kuwa kama nusu wendawazimu hivi nikisikiza maelezo ya mtaalamu inarelate na tabia za hawa madada zangu hawajistiri kam tamaduni zetu na kuzurura hovyo mitaan kupelekea kuzoa vitu vibaya.Dogo yupo Singda mm nipo zenji
Huyu dogo alikuwaga mcheshi sana ...lakin taratibu akawa anakuwa mpole kidogo kidogo isivyo kawaida yake .,..Alikuwa anasoma Singda vijijin huko fm I, Kwakuwa shule ilikuwa mbali sana tukaamua kumpatia uhamisho kwenda Sumbawanga ambapo kaka yake anafundisha sec huko....Siku ya kwanza kwenda shule alizimia njian ikabid kaka yake akaitwe maana anafahamika sana kijijin pale,Walimchukua wakampeleka hospital ya wilaya wakamwambia ana typhoid NA malaria hivyo wakampatia dawa NA wakamruhusu kwenda home...Mmejuaje kwamba amepigwa juju na sio kwamba hataki shule ili akawe mbongo movie?
Sifuri. Tulipewa bure tunatoa bure.Mwambie na gharama zake
Acha ushirikina. Kwa Mungu ni bure. Mganga hatoi ila anapooza. Hao baba yao mmoja. Nguvu katoa wapi?Du pole kaka kwa elimu ndogo ya maswala kiasili au kiutamaduni ni hiviii baaz ya wanawake na wasichana but hutegemea na mila na desturi za jamii husika hutakiwa kujistiri namaanisha tupu zao Kiiman na katka ulimwengu wa kiroho hao huwa ni wachafu hivyo bas huwa wanaingiliwa na majini wabaya kwa nia mbaya solution mkuu kama muislam mtafute shehe awasomee kisomo waondoke kama mkristo ndio muende ktk imani hyo kwa maombezi kama ww ni mwenzangu na mimi mtafute mganga mtaalamu avitoe ivo viumbe nakuambia sababu mimi mwenyew ni muhanga wa matatizo hayo nina wadogo zangu wawil wakike kama nduguyo ni mambo hayo ni kuzimia na kuwa kama nusu wendawazimu hivi nikisikiza maelezo ya mtaalamu inarelate na tabia za hawa madada zangu hawajistiri kam tamaduni zetu na kuzurura hovyo mitaan kupelekea kuzoa vitu vibaya.
Mi nashangaa hili suala la sayansi ikishindwa jambo basi huanza na kupinga njia zengine zilizo nje ya sayansi.Sayansi inaposhindwa kutoa jibu tunasingizia JUJU.
Ubongo ni kama simu au computer, software hukorofisha, Mpeleke kitengo cha Psychology pale Muhimbili Hosipital wako wataalam bingwa.