Mdogo wangu kapigwa juju

Mdogo wangu kapigwa juju

jama nyinyi huyu kaka kashasema huyu mdogo ake alikua shule singida vijijini mbali huko anasoma ila sabb ya umbali home wakaona wamuhamishe.wakaamua kumpeleka sumbawanga kwenye shule nyingine na pia kuna kakake mwingine anafundisha hapo na aishi nae.ndo ikawa added advantage ya kumpeleka hiyo shule...
binti alikua normal kabisa na alifika salama sumbawanga but siku akiwa njiani anaenda shule njiani akakutana na watu wazima wawili alipowasalimu ndo yakamkuta ya kuzimia ghafla hapo njiani.
na hii sumbawanga mnavoijua mnadhani nn kama si ushirikina?
 
Pole sana.Hilo tatizo usiombe likaikuta familia au ndugu mana amani inatoweka mnaishi kimajonzi tu.Nimeshuhudia na nimepitia hivo naelewa adha mnayoipata.
Cha msingi msikate tamaa jaribu kila unapoona panafaa hasa kwa imani za kidini kama ni kwa sheikh au mchungaji.Ipo siku atapona.Kwa mganga sikushauri mana badala ya kupunguza matatizo unaweza ukawa ndo unayaongeza
 
Ndugu pole japo kuna watu wanaleta lugha za kejeli katika hili mtegemeeni mola wenu pia pana ushauri chanya watu wametoa kama hospital na penye mambo ya imani yako jikiteni huko na mungu awafanyie wepesi katika maradhi ya mdogo wako.
 
Nenda kamtafute pastor katunzi,kanisa la eagt mtoni mtongani njia ua mbagala karibu sana na reli inapita kwa juu,kwa maombezi,na hakijmka atapona hapo ni free wewe,huyo katupiwa na watu wamemfunga elimu yake ,asisome,serious nenda kwa katunzi pastor atapona,utakuja hapa kushukuru ni freee kanisani.
 
Angalizo:

Usije Kuta Kuna Njemba Kamwambia Aache Shule Amchukue.
 
Yeah,pengine binti alikuwa traumatized akiwa mdogo,kuna vitu vinakuwa triggered ambavyo vinapelekea mtu anakuwa na multiple personality disorder,wanavyoamini wao ni tatizo la kisakolojia

MPD siku hizi inaitwa DID-dissociative identity disorder.
Kama ulivyosema, kuna vitu vina-trigger hiyo hali. Labda aliwahi kuwa abused au matatizo mengine na ikapelekea "personality" yake ku-split into different identities ambazo washirikina huita majini au mashetani.
Dua au maombi ya dini yoyote yanaweza kumsaidia kupona kwasababu yanakuwa kama hypnosis ambayo inaweza kuzi-unite zile identities into one.
otherwise akafanyiwe classic hypnosis kwenye hospitali za wazungu.
 
Mkuu nimefuatilia vizuri mada yako, kwanza kabisa napenda kuwapa pole, najua jinsi gani hayo magonjwa yanavyosumbua familia!

Mdogo wako anatatizo la ugonjwa wa akili, magonjwa ya akili yapo mengi na yanatibika vizuri hospitalini kwa wataalam wa magonjwa ya akili

Kwa kufuatilia tu ulichokieleza kuhusu Mdogo wako anadalili kama zifuatazo nitaandika kitaalamu ( second person auditory hallucination commanding in nature, aggressive behaviour and decreased interest in activities(anhedonia)..) Hizi zinaweza zikawa dalali za ugonjwa wa akili unaitwa schizophrenia, akienda kwa mtaalamu wa magonjwa ya akili atagundua dalili nyingine nyingi zaidi akimsikiliza


Wagonjwa kama hawa wanasaidiwa vizuri na Mara nyingi hurudi kwenye halo yao ya kawaida kama wakizingatia dawa na ushauri wa wataalamu


Ushauri wangu:-

Mpelekeni kwenye hospital yenye kitengo cha magonjwa ya akili (psychiatry), kwa dar es salaam nenda pale muhimbili.

(By mwanafunzi wa udaktari)
Ukimaliza udaktari utajua tiba inakoishia na Yesu anakoanzia.
Tumesoma na tuna kazi kubwa tu ila tunatenga muda kupambana na kazi za shetani.
 
Ni dada yangu wa mwisho katika familia ya wanaume 7 wasichana wawili.

Alikuwaga mzima na mwaka huu alitegemewa kuwa form 2 ila kuna watu wabaya wamemtupia vitu vya ajabu kiasi kwamba huwa anapandisha na akipandisha anasema shule hataki.

Sasa hivi yuko nyumbani tu na akipandisha huwa ni mateso makubwa kwake. Tumejitahid kumpeka hospitali, kwa waganga, kanisani ila hakuna nafuu yeyote hatujui tufanye nini kwakweli.

Kwa wenye exprience na haya mambo ushauri tafadhalini.
Mkuu pole huyo atakuwa ametupiwa Jini na wachawi nitafute mimi nipate kumtibia apate kupona. Ukihitaji matibabu toka kwangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Ukimaliza udaktari utajua tiba inakoishia na Yesu anakoanzia.
Tumesoma na tuna kazi kubwa tu ila tunatenga muda kupambana na kazi za shetani.
Sawa mkuu! Ila comment yangu hakuna mahali nilipopinga uwepo wa mungu ama wa shetani!

Ingekua vizuri zaidi kama comment yako ingekua directed kumsaidia huyo ndugu yetu.

No hard feelings!
 
Omba Mungu yasikukute ndugu.....Usifikir wanaoenda kwa Dr Mwaka hawana akili ni shida tu .
ni kweli lakn mm iman yangu ipo kwa mungu na ninamtegemea yy kwa kila jambo.. na amenipitisha katika njia ngumu sana hata hyo yako nadhani ni cha mtoto.. endelea kumuomba mungu na uwe na aman kwamba anaweza
 
Ni dada yangu wa mwisho katika familia ya wanaume 7 wasichana wawili.

Alikuwaga mzima na mwaka huu alitegemewa kuwa form 2 ila kuna watu wabaya wamemtupia vitu vya ajabu kiasi kwamba huwa anapandisha na akipandisha anasema shule hataki.

Sasa hivi yuko nyumbani tu na akipandisha huwa ni mateso makubwa kwake. Tumejitahid kumpeka hospitali, kwa waganga, kanisani ila hakuna nafuu yeyote hatujui tufanye nini kwakweli.

Kwa wenye exprience na haya mambo ushauri tafadhalini.
Pole sana mkuu

Mtafute mchungaji Cyprian wa Singida hapo atakusaidia free of charge kabisa ndani ya nusu saa tu, namba yake ni

0688483202
 
Mwambieni aache maigizo,huyo ni mvivu wa shule tu. Niliwahi kufundisha shule fulani nikiwa kama mwalimu wa malezi nilikutana na kesi za namna hiyo na ukifuatilia asilimia kubwa utakuta wanajifanyisha tu ili waache shule. Hakuna cha pepo wala shetani.
 
Mkuu pole huyo atakuwa ametupiwa Jini na wachawi nitafute mimi nipate kumtibia apate kupona. Ukihitaji matibabu toka kwangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Utamsadia bure? Yaaani wewe jamaa nakuvutia punzi ipo siku yako tuu..unachukulia matatizo ya watu mtaji sio!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom