watu kibao
JF-Expert Member
- Mar 25, 2025
- 466
- 1,645
Ni mara 100 zaidi hata angenitumia mbuzi au kuku ningejua baada ya muda watazaliana na biashara itakuwa.
Kanitumia muziki wa youtube, leo siku ya 3 kuna views 600,
kakomaa sana na muziki, wazazi na ndugu tumemuasa lakini wapi, hasikii wala haoni kwenye muziki. anapost sana status za one day yes lakini nahofia atagonga 35 bado yupo hivyo hivyo.
Muziki wa bongo ulivyo unaweza kuishia kupoteza muda au kuwa maarufu asie na maendeleo anaetumika kutajirisha wengine.
Yes ninajua kuna waliofanikiwa kina Diamond, Ally, Harmo, Mario, n.k. lakini ni wachache sana, idadi yao hairidhishi na ukiwafuatilia wamenyanyasika sana, kuuza nafsi zao, kukubali kufanya mambo ya aibu, wengine walinusurika kupotezwa kabisa.
Inakuwa ngumu kumpongeza mtu wa karibu anaetaka kupita njia ambayo katika watu 1,000 wanaopita ni 1 tu anafanikiwa.
Kanitumia muziki wa youtube, leo siku ya 3 kuna views 600,
kakomaa sana na muziki, wazazi na ndugu tumemuasa lakini wapi, hasikii wala haoni kwenye muziki. anapost sana status za one day yes lakini nahofia atagonga 35 bado yupo hivyo hivyo.
Muziki wa bongo ulivyo unaweza kuishia kupoteza muda au kuwa maarufu asie na maendeleo anaetumika kutajirisha wengine.
Yes ninajua kuna waliofanikiwa kina Diamond, Ally, Harmo, Mario, n.k. lakini ni wachache sana, idadi yao hairidhishi na ukiwafuatilia wamenyanyasika sana, kuuza nafsi zao, kukubali kufanya mambo ya aibu, wengine walinusurika kupotezwa kabisa.
Inakuwa ngumu kumpongeza mtu wa karibu anaetaka kupita njia ambayo katika watu 1,000 wanaopita ni 1 tu anafanikiwa.