Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
We ndo mwanaume sasa!!! [emoji7] [emoji7] [emoji7]Naenda Pretoria kukuletea mafuta ya Kizuru ukipa kwisha kabisa! Ili uendelee kung'aa
We ndo mwanaume sasa!!! [emoji7] [emoji7] [emoji7]Naenda Pretoria kukuletea mafuta ya Kizuru ukipa kwisha kabisa! Ili uendelee kung'aa
hahahahAshukuru kwamba kakosa kuolewa na mtu shallow.
Kweli huyo hana niahaha huyo sio muoaji mwambie mdogo wako ampige chini huyo ni gaidi wa mapenzi.
Miss Natafuta....unaweza usipake mkorogo na ukawa nayo.mwambie mdogo wako aache kutumia mikorogo.hakuna michirizi ya unene
Aissee hii ni hatar sana,
Bio Oil hakuna kitu.mwambie atumie ayo mafuta hapo![]()
Hakika, maana kama yangekuja akiwa katika ndoa angepata mateso makubwa sana kwa huyo bwana yakeAshukuru kwamba kakosa kuolewa na mtu shallow.