Mdogo wangu aikosa ndoa kisa michirizi

Veronica7598

JF-Expert Member
Jan 2, 2017
361
408
Wakuu habari za w,keend,

Wakuu naombeni ushauri juu ya huyu mdogo wangu,

Mdogo wangu ana mchumba wake ambae alishafanya proses zote za ndoa, ilibaki kumsubiri dogo amalize chuo wafunge ndoa.

Sasa tatizo limekuja mdogo wangu baada ya kumaliza chuo, amejiachia sana yaani kanenepa alafu kawa na michilizi kiunoni mpaka kwenye makalio na inavyoelekea inaendelea kumtoka maana anaviashiria kama inaendelea kumtoka hadi mapajani.

Sasa baada ya jamaa kumuona hivyo mchumba wake anamwambia jitahidi hiyo mistari ikutoke hangaika kama ni gharama nitalipia lakini hiyo mistari siitaki kuiona mbona wakati unasoma ulikua modo huna hiyo mistari kama ikishindwa kutoka mimi na wewe basi, mimi hiyo mistari inanitisha.

Dogo kanisimulia nikazani utani, kumbe jamaa yupo serious. Sijakaa vizuri huyu jamaa ambae ni shemu wangu akaniibukia mpaka Tanga. Anasema nipo serious na hii inshu jitahidi ukae na mdogo wako umsaidie apake dawa gani ili kuondoa hiyo mistari alafu ni mingi.

Wakuu dogo week ijayo anakuja kwangu nimsaidie maana mimi ndo dadaake mkubwa, alafu harusi ilipangwa mwezi wa na nane na jamaa kama hivyo haelewi somo.

Msaada please kuinusuru ndoa ya mdogo wetu.
 
Waoaji tuko toafuti saana kwenye vipaumbele vyetu.

Wakati Mimi nimechoka na vitu fake na ninataka mwanamke natural mwenye "stretch mark" takoni, mwingine anamkataa. Kweli?

Mlete Mimi nitamuoa kiroho safi na hiyo mistari yake almaarufu michirizi ya utamu.

Mthamini sana anaevutiwa na wewe kutokana na roho yako na sio mwili wako maana utazeeka siku moja na miwili utachakaa au kupata kilema...sijui atavitupa virubish vyako umbali gani toka kwenye nyumba yenu...aaaaaah!!!
 
Ndo athari za kuzini kabla ya ndoa hizo, jamaa keshagegeda kakinai!!
Huwezi amini huyu jamaa ndo alie mtoa bikra Dogo, na akawa anamsomesha kwanzia mwaka wa pili hadi kamaliza Chuo. Na huyu jamaa anatokea huko Serengeti mkoa wa Mara yaan tumejaribu kumshauri haelewi na anampenda sna mchumbaake lakin hii michilizi ndo inamchanganya
 
Back
Top Bottom