agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,640
- 9,414
Wee unayo?Asipokuta bikra?
Wee unayo?Asipokuta bikra?
Kimbia tuNa wewe haaaaa usinifukuze bure
Ndio kwa sababu ukishaona mtu anaanza kutoa vijisababu visivyo na kichwa wala miguu ujue hapo hamna.ndoa.umeliona na hilo
Huwezi amini huyu jamaa ndo alie mtoa bikra Dogo, na akawa anamsomesha kwanzia mwaka wa pili hadi kamaliza Chuo. Na huyu jamaa anatokea huko Serengeti mkoa wa Mara yaan tumejaribu kumshauri haelewi na anampenda sna mchumbaake lakin hii michilizi ndo inamchanganya
Mdogo wako amshukuru Mungu kwa kuwa amemwonesha mapema kuwa huyo mwanaume ni mshamba na tapeli hajui maana ya ndoa na mke. Huyo hana mpango wa kuoa ni mtumiaji wa papuchi tu.
kweli kabisa, wengine wanazitafuta hizoMbona sababu haina uzito. Huyo sio muoaji msipoteze muda wenu hapo.
Naenda Pretoria kukuletea mafuta ya Kizuru ukipa kwisha kabisa! Ili uendelee kung'aaKimbia tu