Mdogo wangu aikosa ndoa kisa michirizi

Mdogo wangu aikosa ndoa kisa michirizi

mY DEAR MBONA HILO TATIZO DOGO SANA TUCHEKIANE INBOBO NIKUSAIDIE MARA MOJA TUSIJEKOSA MAHARI NDUGU ...
 
Endapo Ukamsaidia na michirizi ikaisha na Baada ya kufunga ndoa hiyo hali ya michirizi ikamrudia atafanyaje??Atamuacha?? Kipi bora kutokuingia kwenye hiyo Ndoa au Kuja kuachika baada ya Ndoa.Fikiri Vizur.
 
Huyo sio mume nakuambia mwambie dogo aachane nae. Hivo ni vitu vidogo kwenye ndoa kama ameshindwa hajakomaa kuoa. Asubiriwe akue.
Kweli kabisa!!! Atakua anamcontrol ata jinsi ya kutafuna!!! Yaani mtu anashindwa oa sababu ya michirizi tu!!! Huyo mdogo talaka itampata mapemaaa... Mwanaume sio mzuri huyo
 
Mbona ni brack beauty yaan ni mweusi my dear, cjui labda anavyopenda kula kula ovyo ndo imemsababishia hivyo.

Nataka akija nimpeleke gym ndani ya mwezi nione kama atabadilika
Acha kujidanganya! Kuna unene wa asili na wa kula hovyo...kama ana unene wa asili kamwe hatapungua! Na kupunguza unene si issue ya mwezi mmoja...labda aende jeshini hapo sawa ila sio kwa gym hizi za mtaani!!

Unamkumbuka ronaldo de lima yule wa brazil? Unajua nini kilimfanya astaafu soka?? Huyu jamaa aliongezeka unene na ujue alikua mchezaji na mchezaji lazima ufanye mazoez almost kila siku!!

Je huyo mdogo wako ana michiriz ya tumboni? Kama ana ya tumbon wenda jamaa kahisi alishazaa au alitoa mimba ndio maana anazingua!!!

Kwa kifupi hapo huna shemeji!
 
Back
Top Bottom