Makosakuumbwa
Senior Member
- Mar 28, 2015
- 141
- 205
Hamna Mume hapo......
Huwezi amini huyu jamaa ndo alie mtoa bikra Dogo, na akawa anamsomesha kwanzia mwaka wa pili hadi kamaliza Chuo. Na huyu jamaa anatokea huko Serengeti mkoa wa Mara yaan tumejaribu kumshauri haelewi na anampenda sna mchumbaake lakin hii michilizi ndo inamchanganya
Bio Oil hakuna kitu.
Nimetumia sana mpaka yale ya Oman.
Michirizi haitoki aisee.... na ndio maana wanawake wengi wanakazana kujichubua angalau ivutie vutie
Haahaahaa.... Sio IGP!??wewe na mdogo wako wako wote akili zenu hazina akili za kuwatosha!
I wish I could be your brother!!
We unamatatizo kwenye ubongo...huoni aibu kusema kwamba ndiye kamtoa bikra mdogo wako??Huwezi amini huyu jamaa ndo alie mtoa bikra Dogo, na akawa anamsomesha kwanzia mwaka wa pili hadi kamaliza Chuo. Na huyu jamaa anatokea huko Serengeti mkoa wa Mara yaan tumejaribu kumshauri haelewi na anampenda sna mchumbaake lakin hii michilizi ndo inamchanganya
Haahaahaa.... Sio IGP!??
Kwa ulivyo exact on key events naamini huenda ni wewe unayehitaji hiyo tiba, mpaka siku ya kutoa lock unaijua,???Huwezi amini huyu jamaa ndo alie mtoa bikra Dogo, na akawa anamsomesha kwanzia mwaka wa pili hadi kamaliza Chuo. Na huyu jamaa anatokea huko Serengeti mkoa wa Mara yaan tumejaribu kumshauri haelewi na anampenda sna mchumbaake lakin hii michilizi ndo inamchanganya
Duuuh hiyo gaidi wa mapenzi ndiyo nimeisikia leo,ila nimeipendahaha huyo sio muoaji mwambie mdogo wako ampige chini huyo ni gaidi wa mapenzi.