Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Nadhani sote tunataarifa kwamba kuna tangazo linalorushwa na REDIO CLOUDS la kuhamasisha wanachama na wapenzi wa CHADEMA kukichangia chama hicho.
Taarifa RASMI zinasema Mwaandaaji wa sherehe hizo za kukichangia chama chetu ambaye ni moja ya hoteli moja maarufu jijini Arusha amewaomba viongozi wa CHADEMA waseme kuwa chama ndicho kinabeba gharama zote ila ukweli ni kwamba HOTELI ndiyo inabeba gharama zote. Aidha watu maarufu kama Wafanyabiashara ambao wako nyuma ya CHADEMA kukisaidia nao wameombwa kutotajwa hadharani kwa kuhofia biashara zao kupata matatizo.
Maoni yangu: Hakuna sababu yoyote ya Mmiliki wa Hoteli hii wala Wafanyabiashara kuogopa kwa sababu wapo Watu wengi wameonesha nia ya kukisadia CHADEMA na mambo yao yanakwenda poa tu, mfano mzuri ni SABODO.
Taarifa RASMI zinasema Mwaandaaji wa sherehe hizo za kukichangia chama chetu ambaye ni moja ya hoteli moja maarufu jijini Arusha amewaomba viongozi wa CHADEMA waseme kuwa chama ndicho kinabeba gharama zote ila ukweli ni kwamba HOTELI ndiyo inabeba gharama zote. Aidha watu maarufu kama Wafanyabiashara ambao wako nyuma ya CHADEMA kukisaidia nao wameombwa kutotajwa hadharani kwa kuhofia biashara zao kupata matatizo.
Maoni yangu: Hakuna sababu yoyote ya Mmiliki wa Hoteli hii wala Wafanyabiashara kuogopa kwa sababu wapo Watu wengi wameonesha nia ya kukisadia CHADEMA na mambo yao yanakwenda poa tu, mfano mzuri ni SABODO.