under_score
Senior Member
- Nov 2, 2011
- 190
- 45
Mwenye Naura Spring Hotel amefanya kosa kubwa sana ambalo atakuja kulijutia katika maisha yake yote. Na tukumbuke huyu mwenye hii hotel anamiliki pia hotel ya Impala na Ngurdoto. Sijui km biashara zake zitaachwa salama na TRA
Hivi kama mtu (mfanyabiashara) ni mwadilifu kwenye biashara zake kwa kulipa kodi zote za serikali kwa ukamilifu, iko haja gani ya kuogopa TRA wakuu?