Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 431
- 1,335
Wakuu nauliza swali kutokana na Tangazo la kazi la NSSF, wanasema only wanaojitolea na mikataba ya muda mfupi.
Sasa je Kuna watu wanajitolea katika taasisi mbali mbali, za Serikali. Na wana vigezo husika kama vinavyotakiwa lakini hawaruhusiwi kuomba kwa sababu ya hawajajitolea NSSF.
So nauliza, Kesho likitoka tangazo la kazi la halmshauri ya wilaya ya Tandahimba na wanatakiwa wana Tandahimba tu?? Watakuwa wameleta ubaguzi??
Sasa je Kuna watu wanajitolea katika taasisi mbali mbali, za Serikali. Na wana vigezo husika kama vinavyotakiwa lakini hawaruhusiwi kuomba kwa sababu ya hawajajitolea NSSF.
So nauliza, Kesho likitoka tangazo la kazi la halmshauri ya wilaya ya Tandahimba na wanatakiwa wana Tandahimba tu?? Watakuwa wameleta ubaguzi??