Mdahalo Shirikishi: Watanzania Waarab au Wahindi wako wapi kwenye uongozi wa taifa letu?

waswahili walipewa nafasi wakashindwa, waliiba mpaka mtandao ukashindwa kulipa commision kwa ma-team leaders na ma-freelancers! Achilia mbali mishahara kwa waajiriwa wa zantel. Binafsi nawapongeza zantel kwa hatua hiyo!
 
waswahili walipewa nafasi wakashindwa, waliiba mpaka mtandao ukashindwa kulipa commision kwa ma-team leaders na ma-freelancers! Achilia mbali mishahara kwa waajiriwa wa zantel. Binafsi nawapongeza zantel kwa hatua hiyo!

Tigo nayo je inaongozwa na wahindi? acheni kujdharau wewe ndo maana tunaibiwa kila uchao.
 
View attachment 53328 View attachment 53329View attachment 53331View attachment 53332View attachment 53333View attachment 53340View attachment 53341View attachment 53342
Hauwezi kuamini hawa ndo wahindi walioajiriwa Zantel kwa kipindi cha muda mfupi tokea January kwa huu(2012) Jamani hawa Migration hawapo????????????????????
huna tofaut na kaburu !
tukianza kuangaliana kabila lipi ni wengi pahala gani mbona italeta balaa kwenye baadhi ya secta ikiwemo vyama vya siasa .
waache hawa ndugu wafanye kazi ; mi nawapenda sana hawa ndugu na ni mfano wa kuigwa kiutendaji
 
huna tofaut na kaburu !
tukianza kuangaliana kabila lipi ni wengi pahala gani mbona italeta balaa kwenye baadhi ya secta ikiwemo vyama vya siasa .
waache hawa ndugu wafanye kazi ; mi nawapenda sana hawa ndugu na ni mfano wa kuigwa kiutendaji
Tuwaige kwenye kukwepa kodi au kitu gani...?
 
since in tanzania we have no concrete legal framework & we're using unstrategic policy on investiment and employment matters: these foreign companies tend to use their policy, i.e IMPOSED POLICY in order to achieve their objectives, in so doing if we dont want to be strong in our policy we're not suppose to lament.
 
Wameajiriwa kama expatriates au locals? Manake kama ni locals na wana vigezo sioni tatizo. Ila kama ni expatriates, basi kuna shida manake itakuwa imezidi ile namba ya wageni wanaotakiwa kuwepo kwenye kampuni local. Na tuendelee kuilaumu mifumo yetu ambayo haifanyi kazi yale ipasavyo.
 
Maafisa Uhamiaji wengi sasa wapo kwenye payroll za makapuni ya wahindi kusaidia kutoa vibali vya kazi.Nenda kurasini na Nyerere road utashangaa hata vibarua ni wahindi na wanavibali vya ajira kwenye viwanda vya sabuni,nondo,mikate,mafuta na ngano.METL-Mohamedi enterprise amejenga jengo la ghorofa nne amejaza wahindi humo zaidi ya 500 na kuna wadada waswahili ndio wahudumu wao.METL yeye anapata wahindi kwa bei ya chini toka India na kuja kuhonga uhamiaji
 
huna tofaut na kaburu !
tukianza kuangaliana kabila lipi ni wengi pahala gani mbona italeta balaa kwenye baadhi ya secta ikiwemo vyama vya siasa .
waache hawa ndugu wafanye kazi ; mi nawapenda sana hawa ndugu na ni mfano wa kuigwa kiutendaji

Mkuu labda tuwaige kwenye kukwepa kodi, UWT waende kampuni moja inaitwa UNIQUE FINANCIAL SERVICES 85% ya employees ni wahindi wanakaribia kuhamia jengo lao jipya pale opposite na Seifi Book Shop Upanga hapo ndio itakuwa mambo yote maana mpaka wafagizi watakuja toka india. Where are we Tanzanians, Uhamiaji ni tatizo kubwa maana vibali very easy kutoka.
Anyway mi yangu macho
 
Tupunguze majungu, wizi na uvivu pia tujali kazi na sio muda wa kazi! Wabongo tukipewa kazi kampuni inakufa badala ya kukua unless hiyo ofisi/kampuni iwe yako binafsi..
 
Pamoja na kuwa sifurahii pale anapoletwa mgeni kuja kufanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na wageni. Lakini jamani tuseme ukweli Zantel uswahili umezidi, imagine kampuni ambayo hata wanashindwa kufuatilia madeni yao... naona mwenyewe kashituka... Uhamiaji nao nikweli kuna mtandao kabisa wa kutafuta permit na passport kwa wageni.. iko wazi kabisa...

fuatilia baada ya mwaka mmoja hao wahindi wote utakuta wana passport za Tanzania na ni raia.Wasomali ndio kabisa muhimu ujue tu kiswahili cha kubabaisha..
 
Kama waswahili mlipewa kampuni mkashindwa kuendesha hadi mishahara ikawa inatoka Eti salat ndo maana wakaamua kuwaletea wahindi na ndo faida ya kampuni inaanza kuonekana wamepewa akina kakai wakawa wanabunya tu


Nitarudi.............
 
Mi sijaelewa hapa, hili kampuni ni la nani? Anaeajiri wahindi ni nani?(mswahili au mhindi?)
 
Nyie jamani changieni mada kwa kuwa uliza watu wanao fanya kazi kwenye viwanda vya hao wahindi kwanza wana matusi sana halafu kazi zote wanataka ufanye wewe na matusi wakati mmepangwa mashine moja mimi nilifanya kazi kwenye kiwanda dar nimerudi shamba..Kumbe dar ni ya wahindi sina zaidi tukomae wa tanzania hakuna uwekezaji hapa ni ufisadi tu
 
Mi sijaelewa hapa, hili kampuni ni la nani? Anaeajiri wahindi ni nani?(mswahili au mhindi?)

Nimejaribu kupitia company profile:

The government of Zanzibar – 18%
Emirates Telecommunications Corporation (ETISALAT) –51%
Kinbary Investment of the Channel Islands – 14% and
Meeco International of Tanzania –17%

Jibu la officer muajiri nipe mda!
 
Nyie jamani changieni mada kwa kuwa uliza watu wanao fanya kazi kwenye viwanda vya hao wahindi kwanza wana matusi sana halafu kazi zote wanataka ufanye wewe na matusi wakati mmepangwa mashine moja mimi nilifanya kazi kwenye kiwanda dar nimerudi shamba..Kumbe dar ni ya wahindi sina zaidi tukomae wa tanzania hakuna uwekezaji hapa ni ufisadi tu
hivi bado kuna watanzania wanawaabudu wahindi.?
 
Kaka Nchimbi kazi unayo maana nijauvyo matx ni watano kwa kampuni sasa huu uititiri wa wahindi unatoka wapi?
Tz we need to be serious oncemore
 
Kama hawa jamaa wana 51% ya share basi ndio wenye maamuzi makubwa kwenye kampuni. Sii kuajiri tu bali Hata gawio la faida pia inayopatikana
 
Duu... Pole poleni sana, ila hawa wachache mbona, nenda pale Quality group, utafikili upo india, waindi kibao. Afu, ndio tunaambiwa wawekezaji wameongeza/wataongeza ajira, kwa style hii, bora tukashike jembe tuendelee na kilimo kwanza chetu...

watanzania unapolaum huajiliwa wa wenzetu kwanza jiulize kuwa pindi unapoomba kazi unalenga nini! Na je unavigezo? Tusiwe watu wakulaumu kilajambo!
 
Back
Top Bottom