LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Hii issue ni kuziba watu macho, waache know ujadili makato ya kwenye miamala wajadili issue ya Mh. Mbowe na katiba mpya.
Turudi kwenye mada ya miamala, hii nchi huongozwa na matukio.
Tusisahau watu ninwale wale, utawala ni ule ule. Tusitegemee mapya kwa system ya Siro, au TISS kikombe kipya mvinyo wa zamani
Turudi kwenye mada ya miamala, hii nchi huongozwa na matukio.
Tusisahau watu ninwale wale, utawala ni ule ule. Tusitegemee mapya kwa system ya Siro, au TISS kikombe kipya mvinyo wa zamani