nshakwambia fungua uzi wa 'watoto wa nje' tujimwage hapa,mbona husikii,ntakuchapa!Wakuu katika this thread... Nimesoma kila Post na zimekua very very insightful... Kama shemeji yangu ODM alivosema katika libandiko lake lirefu la mwisho... The Great thing kuhusiana na hii topic ni the fact kua Most wameongea out of one's own expreriences on the matter... I really look forward to other Great discussions kama hizi... Yaani hata mtu ambae hajachangia anaona raha kusoma thread no matter the number of pages....
Sasa wifi oups sorry shem, mbona humwambii hubby naye aje anigongeeka-like? Mi bila kugongewa ka-Like huwa najihisi kama mochware inanitafuta!
Mimi Like sigongi na nakusimamisha uanachama bila malipo kwa wiki hii utakayokuwa na hii ratiba (for I know its only one week huwezi kuifata) hadi utubu kwa nini umetoa the obvious?:smash:
Kama ni hivyo, hapo kwenye jumanne na jumatano pa-edit kidogo ufute hilo neno grants........ Hommie akikamata hiyo makitu unaweza omba likizo urudi kwa wanao.......(his last girlfriend used to call him horse rider!)LOL
Kwa hisani ya watu wa Libya, leo sitaki kumuuzi shem wangu! Hii ni ratiba ya mwezi mzima I mean mwaka mzima wa 2010.
ADii,
Hivi ulishasikia kuwa jina la utani (la kijiweni) linapata kasi ukilikataa??? Ndiyo maana nakushauri uone ni furaha tu watu kushindwa kukutofautisha na baadhi ya members...labda kama kuna deception ya aina fulani!! Na hata kama ipo, haya mambo tunayafanya kwa imani kwamba hatujuani..Kwa hiyo hayatakiwi kukusabishia real damage kwa hali yoyote ile!
Binafsi nitasikitika kama comment mbaya juu yangu ataitoa mtu ambaye ananifahamu...Kwa wasio nifahamu, wana haki ya kutafuta vivuli kwa kadri wawezavyo ili wajiridhishe kwamba walau wamejenga image yangu..
Which is not bad at all........Jitahidi kuhandle imotions za upande wa pili kwa sababu umekubali kuwepo hapa na kujumuika na kila mtu...huwezi tena kubagua mijusi, kenge, na hata wadudu!!
Sasa wewe unanipa usongo sasa...Ngoja kwanza niende lunch..Nitakuja kuomba ushauri nipate pa kuanzia!!
Hope hutanibania!
Shem nikikonect dots kwenye hizo bold............... Looooooooo! Without you our family will never be the same! Futa kauli yako!Kabla sijaenda mbali hebu jieleze hapo.... Kama familia yenu imenichoka mko wazi kusema... itauma but life will go on!
Gosh!!! To think that what i call him is almost close... (the galfriend didn't get half of what i am getting if she called him that!!)
Shemeji sometimes i don't know why i love him.... Yaaani hunifinyanga this heart of mine mpaka basi.... BUT I am telling you his days are numbered.... Wee shahidi yangu.... (PA anajua mpango mzima! this is madness Khhaa!)
Mzee DC Nimekupata.... Na nitafuata kila neno la hii post.... THANK YOU. Ni maneno ya msingi ambayo umeyatoa angle ambayo sikutazamia, hivo appreciated saana. Usishangae kwa post hii ukiambiwa kesho wewe ni mimi....lol[/QUOTE]
Nitafurahi sana kwani huwa naamini Mama DC peke yake ndiye anayenifahamu...Sasa kama watu wote wananifahamu ataendeleaje kujiona nambari wani?? At least nikipata watu wakunimix na wadau wengine itakuwa great ili utukufu ubaki kwa mwenye nao (in this case, my nambari wani)!!
Siwezi kukubania.... Kwanza kabisa anza na The Boss... guide to Nyumba ndogo.... Ukimaliza hio ni PM.... Nikupe muendelezo wa Muongozo....
Aisee we mwongo aisee. NimejiPM haijafika. Inawezekana umejiPM kwa ile ID yako nyingine habu kagua vizuri afu fanyia kazi uvumbuzi wako.Dah! nimevumbua! Nimevumbua aisee
Kumbe unaweza ukajiPM mwenyewe hapa JF ukiamua.
Hii ni habari njema kwa wale wanaojiskia lonely.
enhee tuendeleeni na mjadala wajameni.
nshakwambia fungua uzi wa 'watoto wa nje' tujimwage hapa,mbona husikii,ntakuchapa!
heheeh hapo red hapoShem nikikonect dots kwenye hizo bold............... Looooooooo! Without you our family will never be the same! Futa kauli yako!
And who is this PA and what does PA stand for? For am planning to assassinate some one! Gaddafi is lonely upthere......
Aisee we mwongo aisee. NimejiPM haijafika. Inawezekana umejiPM kwa ile ID yako nyingine habu kagua vizuri afu fanyia kazi uvumbuzi wako.
Jibu unitumie kwa PM kwenye ile ID yangu ya sita.
Yani nieamini mkiishi pamoja kwa muda mrefu mkiwa mnapendana kila kitu kinafanana. Yani shem mwandiko wako umefanana na wa hommie huwezi amini. Au umemwibia penseli yake?Jamani B'... Zinapokuwepo threads ambazo zinahitaji attention yangu kama hii... Siwezi rusha uzi... For sasa nagawa concetration which is not good... Be patient huo uzi utakuja soon... Hivo naomba usinichape bana.... (Hivi unajua kua mtu mzima achapwi lakini?? )
Kama ina antenna, elekezea makambako, huko ndo kuna mnara wa kuunganisha self service PM.Natumia Blackberry ya kichina nimenunua kwenye duka la simu used pale Magomeni Makuti!
Shem nikikonect dots kwenye hizo bold............... Looooooooo! Without you our family will never be the same! Futa kauli yako!
And who is this PA and what does PA stand for? For am planning to assassinate some one! Gaddafi is lonely upthere......
Natamani muendelee hivi hivi tablets!Hahahahaha......... dah! Kama nimeielekeza makao makuu ya Vodacom lakini netiweki imegoma nikiielekeza makambako si katalipuka? Nimestuka!
Kaizer dear naona wanitafuta maneno Mpenzi...
Gosh!!! To think that what i call him is almost close... (the galfriend didn't get half of what i am getting if she called him that!!
Shemeji sometimes i don't know why i love him.... Yaaani hunifinyanga this heart of mine mpaka basi.... BUT I am telling you his days are numbered.... Wee shahidi yangu.... (PA anajua mpango mzima! this is madness Khhaa!)