Mdahalo: Kids Vs Spouses





Lmao.... Mpaka machozi!!!! Khaaa!! (Naomba nisiseme mengi shem)
 
niongezee tu, na kuwaelewa pia....

Mkuu fanya haraka uagize your favorite drink...Kama mshahara bado nitaenda kuikopa ATM ......Ikigoma, naamini sitakosa mtu wa kuniokota na kusettle bill!!


Nilipata matatizo sana kabla ya kuoa lakini nilibahatika kusoma hiki kitabu ambacho kilinisaidia sana kuwafahamu hawa wadau wetu....They are our own fresh but always hidden in the darkness...I wish we had enough light to see and know them....Tumeshindwa kabisa kuwafahamu wenzetu kama ambavyo nao wameshindwa kutufahamu sie pia!!

Hebu chungulia hiki kitabu ndugu yangu (unaweza kupata copy yako hapa, Amazon.com: I Married You (9780966396669): Walter Trobisch: Books),



Summary yake hii hapa,


Mwisho anasema hivi,

"Endapo umeshuka kwenye ndege, na ukakuta mke na watoto wako wamekusubiri....Never ever make a mistake to kiss your kids first"!!

Muwe na amani na lunch njema!!

Babu DC (1947)!!
 

I feel your pain. You can't control people's mouths or thoughts. The best you can do is brush all the nonsense off though I admit it's not all that easy.

Have a happy Friday, be good, stay out of trouble, and don't do anything that I wouldn't do! Lol!
 
Hahahahaha babu nafurahi sana kuona kwamba nyumba ndogo is not a priority!!!

Ratiba imetulia na imekaa vizuri.
Hapo kwenye biya ..biya..biya ungesema ni siku ya mapenzi kwako wewe mwenyewe.
Nimekuangalia sana, hujanigongea ka-like pale!...........Ole wake atakayeikopi ratiba yangu.......... ile ni Copyright Reserved!
 
Kujiandaa kwenyewe sindo nnakokuongea babu???
Au.............?

Sawa ila mimi napinga kujihangaisha sana na mambo ambayo huna uhakika kama kweli yatatokea... Obsession ndiyo siitaki kabisa!
 

tunarudi kule kule kwamba how do you know of the possibility?
 
mkuu hili neno siku mbilitatu hizi limeleta mtafaruku angalia usiamshe waliolala lol....

Nilikosa muda wa kuyapitia hayo mathread...Ngoja nitafute nguvu ya bwana ili nikachungulie!
 
 


THANKS Ngabu... In red... Thank you kua umeliona hilo... In blue.... You maybe surprised....lol... That labda ni bora hata it is beta i do exactly that!
 
Nimekuangalia sana, hujanigongea ka-like pale!...........Ole wake atakayeikopi ratiba yangu.......... ile ni Copyright Reserved!



Khaaa!!! You Darling shem of mine... all those LIKES.... Bado tu....lol.. Muache mtoto bana! (Hio ratiba kwa ruhusa ya PAW nampelekea hommie)
 
Hivi unam PM mtu halafu mnapanga mkutane sehem unaenda mara unamkuta mpenzi wako anakusubiri utatoka nduki au?

kuna teknik zake Eiyer,mwambie Kloro akupe tuition,mtaalam yeye,hata leo keshakubaliwa ndoa.
 
Nilikosa muda wa kuyapitia hayo mathread...Ngoja nitafute nguvu ya bwana ili nikachungulie!



Mzee DC... Nakushauri usome ukiwa umeshiba kabisa... na kinywaji pembeni... kwa hisani ya watu wa Marekani....
 
Lmao.... Mpaka machozi!!!! Khaaa!! (Naomba nisiseme mengi shem)
Sasa wifi oups sorry shem, mbona humwambii hubby naye aje anigongeeka-like? Mi bila kugongewa ka-Like huwa najihisi kama mochware inanitafuta!
 

Mimi Like sigongi na nakusimamisha uanachama bila malipo kwa wiki hii utakayokuwa na hii ratiba (for I know its only one week huwezi kuifata) hadi utubu kwa nini umetoa the obvious?:smash:
 
Khaaa!!! You Darling shem of mine... all those LIKES.... Bado tu....lol.. Muache mtoto bana! (Hio ratiba kwa ruhusa ya PAW nampelekea hommie)
Kama ni hivyo, hapo kwenye jumanne na jumatano pa-edit kidogo ufute hilo neno grants........ Hommie akikamata hiyo makitu unaweza omba likizo urudi kwa wanao.......(his last girlfriend used to call him horse rider!)LOL
 
THANKS Ngabu... In red... Thank you kua umeliona hilo... In blue.... You maybe surprised....lol... That labda ni bora hata it is beta i do exactly that!

ADii,

Hivi ulishasikia kuwa jina la utani (la kijiweni) linapata kasi ukilikataa??? Ndiyo maana nakushauri uone ni furaha tu watu kushindwa kukutofautisha na baadhi ya members...labda kama kuna deception ya aina fulani!! Na hata kama ipo, haya mambo tunayafanya kwa imani kwamba hatujuani..Kwa hiyo hayatakiwi kukusabishia real damage kwa hali yoyote ile!

Binafsi nitasikitika kama comment mbaya juu yangu ataitoa mtu ambaye ananifahamu...Kwa wasio nifahamu, wana haki ya kutafuta vivuli kwa kadri wawezavyo ili wajiridhishe kwamba walau wamejenga image yangu..

Which is not bad at all........Jitahidi kuhandle imotions za upande wa pili kwa sababu umekubali kuwepo hapa na kujumuika na kila mtu...huwezi tena kubagua mijusi, kenge, na hata wadudu!!
 
Mimi Like sigongi na nakusimamisha uanachama bila malipo kwa wiki hii utakayokuwa na hii ratiba (for I know its only one week huwezi kuifata) hadi utubu kwa nini umetoa the obvious?:smash:
Kwa hisani ya watu wa Libya, leo sitaki kumuuzi shem wangu! Hii ni ratiba ya mwezi mzima I mean mwaka mzima wa 2010.
 

1.Darlingtone yuko chumbani kapumzika.
2.Hujapata wa kuoa? Siamini,mbona warembo jf kibao,au unawanyanyapaa?
Oa bana!
 
Mzee DC... Nakushauri usome ukiwa umeshiba kabisa... na kinywaji pembeni... kwa hisani ya watu wa Marekani....

Sasa wewe unanipa usongo sasa...Ngoja kwanza niende lunch..Nitakuja kuomba ushauri nipate pa kuanzia!!

Hope hutanibania!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…