Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,726
MKUU BILL ...HESHIMA MBELE!!!!..NA heshima hii inatokana na uwezo wako wa kutoa mawazo yako huru ..wala sio kwa sababu ya ubini wa jina ..lako ,ambalo tumelijuwa hapa kwa kuwa una balls za kusimama na kuhesabiwa..
Pia ninapoongelea uwezo wako wa kuendeleza mema ...nimeangalia wewe kama wewe na sio wewe kwa kuwa umetokana na nani......
Ndio maana ni mantik hii hii napingana na wale ambao wanataka kutumia nafasi zao za sasa kufanya CCM iwe chama cha kifamilia..waelewe viongozi waliotangulia huko nyuma wangeamua deliberatelly kuacha watoto wao wafanye siasa kwa msaada wao...basi hii nchi leo ingekuwa monarchy!!.....muelekeo wa boyz2men uliuwa kuifanya nchi monarchy kama sio kutolewa uvivu majuzi na wakongwe!!.....mbona mwalimu hakumbeba makongoro au mwinyi kumbeba hussein....hata kaka yako alikuwa akipambana mwenyewe...kujijenga.
Naheshimu sana watu ambao wanasimama wenyewe bila kutegemea mgongo wa wazazi wao....na hapa tuwatendee haki kwa kuwahukumu wao kama wao na kuzaliwa na viongozi hakuwaondolei haki yao ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa.......
Pia ninapoongelea uwezo wako wa kuendeleza mema ...nimeangalia wewe kama wewe na sio wewe kwa kuwa umetokana na nani......
Ndio maana ni mantik hii hii napingana na wale ambao wanataka kutumia nafasi zao za sasa kufanya CCM iwe chama cha kifamilia..waelewe viongozi waliotangulia huko nyuma wangeamua deliberatelly kuacha watoto wao wafanye siasa kwa msaada wao...basi hii nchi leo ingekuwa monarchy!!.....muelekeo wa boyz2men uliuwa kuifanya nchi monarchy kama sio kutolewa uvivu majuzi na wakongwe!!.....mbona mwalimu hakumbeba makongoro au mwinyi kumbeba hussein....hata kaka yako alikuwa akipambana mwenyewe...kujijenga.
Naheshimu sana watu ambao wanasimama wenyewe bila kutegemea mgongo wa wazazi wao....na hapa tuwatendee haki kwa kuwahukumu wao kama wao na kuzaliwa na viongozi hakuwaondolei haki yao ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa.......