Mfano MR. Kuku wamrudishie pesa yake ile ilikua dhuluma ya mchana kweupe yaani haikua haki kabisa
Duuh, huyu "SHUJAA WA AFRIKA" alikuwa kiboko balaa....!!
Huyu shujaa gani aliyekuwa anahusudu dhuluma to that extent..?
Shujaa aliyedhulumu mpaka uhai wa watu. Hawa nao warudishiwe uhai wao..!!
Ile dhuluma ya Uchaguzi wa 2020 ndio ilikuwa dhuluma kuu, Majimbo mengi wamewekwa Wabunge bila ridhaa ya Wananchi.Mama Samia hapendi dhuluma...
Dikteta alikuwa DhulmatiWaliokiri makosa under pressure, na wale "waliotongozwa" walipe hela ili yaishe hata kama Serikali ilikuwa inajua haina ushahidi wa kuwatia hatiani walipwe hela zao, Ile ilikuwa ni dhuluma tupu
Hata Kiswahili hujui mkuu amesema walioathirika yaani kama kuna Mtz alikuwa part wa kesi husika then analipwa pesa kiasi fulani na serikali inachukua kinachobaki. Someni sheria inayohusika na plea bargaining. DPP hana uwezo wa kuwarudishia watuhumia wakati hiyo ni hukumu ya Mahakama mkuu!
Hivi Mganga bado hajakamatwa ?
Hawa makamanda uchwara wametelekeza akili zao pale ufipa. Wao kila kitu hivi sasa ni kushangilia tu hata bila kufikiri.Wengi hii habari hamjaielewa mnakurupuka tu. Wataorudishiwa ni wale ambao wameathiriwa na hao waliofanya na kukiri makosa. Zingine zitabaki serikalini.
Mfano ulidhulumu watu, ukapelekwa mahakamani ukakiri kosa. Hivyo pesa itarudishwa kwa waliodhulumiwa
Erick kabenderaWakina nani wamedhulumiwa? ni vyema hao watako rejeshewa wakawekwa wazi na tukajua walivyo dhulumiwa na walikuwa na makosa gani?
Tuko pazuri mno
Na Tito magoti apate zake.Afadhali,wamrudishie pesa zake Erick kabendera, Ni Kama alidhulumiwa