Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
Mbona ameshawahi kula mvua moja gerezani kwa kumkashifu Mwalimu Nyerere!
Alifungwa mwaka mmoja kwa kosa la kusigina katiba ya JMT hadharani akiwa kwenye jukwaa la siasa...
Mbona ameshawahi kula mvua moja gerezani kwa kumkashifu Mwalimu Nyerere!
Ni kigeugeu,wanajuwa hana madhara makubwa kwa serikali,lakini anayo madhara kwa upinzani kwasababu anatumika kuzigawa kura za upinzani na hatimaye ccm kushinda.Shida ni kwamba haaminiki huyu,na anapenda sana pesa kuliko hata hayo ya kuwakomboa watanzania,yeye anapiga kelele ili mkono uende kinywani,rejea ile issue ya RA,kule Mara kwenye uchaguzi wakati wa kifo cha Wangwe pamoja na ile kesi aliyoifunguwa eti amekamatwa makalio yake.Huyu ni pesa tu zinamzidia hata uzalendo.
Yaani i was about to comment the same.....
Very possible,huyu tatizo lake ni mbinafsi,its all about him,na ndiyo maana ameshindwa kushirikiana na wenzake kuiondoa ccm.usikute hata pesa za mawakili kapewa na rostitamu
wewe vipi wewe.....aliyesema hiyo ni WATU au Mtikila?...muulize Mtikila.Yesu "alidesa" hiyo hukumu ? nyie watu mna utani mbaya !
unapoandika hakikisha umetulia, manake badala ya kuelekeza ndio umeharibu kabisaaaaa!
hivi hii serikali imewahi kushinda kesi gani vile...... Ndio maana mamikataba yetu ya hovyo, wanasheria wa hovyo, wanafundishwa na walimu wa....., majaji wanateuliwa na rais wa.........
Alifungwa mwaka mmoja kwa kosa la kusigina katiba ya JMT hadharani akiwa kwenye jukwaa la siasa...
Alifungwa mwaka mmoja kwa kosa la kusigina katiba ya JMT hadharani akiwa kwenye jukwaa la siasa...
bigirita description zp izokwahiyo JK ni exactly as described by Mtikila.
hahahahaa..........!!!:A S shade::A S shade:
alisema jk ni gaidi
unapoandika hakikisha umetulia, manake badala ya kuelekeza ndio umeharibu kabisaaaaa!
Sasa kwakuwa ameshinda kesi...kwahiyo alikuwa sahihi