Masterproud
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 440
- 116
Kwa hiyo yote yaliyosemwa ni kweli kabisa. ama kweli mnyika naye alinena. Kwa hiyo kesho mtu alisema maneno kama ya mtikila hakuna kesi
so kashinda usemi wake umethibitishwa na Mahakama so Raisi ndiye......alisema jk ni gaidi
amesema anashukuru haki imetendeka lakini akadai kuwa maneno aliyoyasema ni ukweli mtupu dhidi ya raisso amesema nn kuhusu kushinda kesi?
serikali haijakata rufaa?
hajafungua madai ya fidia
Neno " tumuhuma" lisomeke kama " tuhuma"
MASAHIHISHO
Jogi, umenielewa baada ya masahihisho hayo?